Alichokisema nabii Bashando baada ya huduma WRM iliyo chini ya nabii Suguye kufungiwa

Huyu jamaa kamaliza kila kitu.
Your browser is not able to display this video.
 
MWENYEKITI WA UMOJA WA HUDUMA ZA KITUME NA KINABII TANZANIA (UHKKT)
.فَمَالِ هَـٰۤؤُلَاۤءِ ٱلۡقَوۡمِ لَا یَكَادُونَ یَفۡقَهُونَ حَدِیثࣰا
 
Ni rahisi sana kumsilimisha mkristo yeyote awe padri,askofu,mlei,mtawa sijui fratel nk kuwa muislamu ila ni ngumu sana kumfanya muislamu hata asieswali wala kupitia madrasa kuwa mkristo
Wale maustadh wanaomiminika kwenda kwa Mwamposa huwa wanakwenda kucheza kaswida pale?
 
Hao ni wezi kma wezi wengine waabudu shetani tu
 
Mimi uwa nawaza hivi hawa mashetani wanahubiri moto upo mbinguni lkni mbona hawaogopi wakiongeacho sio wanachokifanya wamekaa na fahari ya dunia tu lkni Mungu hawamuogopi kbsa
 
Waache kutafuta huruma mitandaoni. Wafanye kama manabii wengine walivyofanya. Nabii Eliya alivyoona anaonewa na dola alifunga anga mvua isinyeshe. Sasa zamu ya Suguye kusimama kama Nabii
Kwani mvua ya vuli ilinyesha mwaka uliopita? Unauliza majibu! au swali!
 
Kwani serikali imesema ni swala la kutokamilisha masharti ya usajili ambayo huyo suguye unayesema hahusiki alisign?

Umeongea saaana kama kanisa hilo limeota tu. Kuna aliyelisahili na ndie atakayewajibika. Unajua alisign nini huko kwa msajili? Kwanini yeye kanyamaza? Analijua kosa lake. Wapambe ndio nuksi.
 
[emoji706]
 
matapeli kwa jina la yesu wanateteana ili waendelee kuwapiga watu .
 
Watu 4000 × 10 = 4,000,000 weekly .. Hii biashara inalipa sana! Na hayo ni makisio ya chini
 
Mimi ni Mpentecoste na kweli nilikuwa naamini katika ministries ila hizi ministries bila kusimamiwa na kuelekezwa na serikali kuna mambo ya hovyo sana yanafanyika na yanauchafua ukristo japo serikali ilijitahidi kujitenga na maswala ya Imani.[emoji1545]
 

kama ukiruhusu serikali iingilie masuala ya imani, wataingiza mambo yanayokinzana na kumtumikia Mungu.
Huyo Bashando mbona haelezi msajili alitoa jibu gani, badala yake amejikita kwenye kucha na nywele (jambo la hisia). Aseme sababu za kufungiwa huduma kama alivyoambiwa na msajili
 
Kama sheria za mamlaka na utawala hamzifati, hizo za Mungu?? Maana leo hii Biblia kila mtu anaitafsiri kwa kisingizio ni imani. Hizi ministries zina siri gani ? Ukweli usemwe
 
Sio kazi ya serikali kusimamia mtu aabudu nini na aabuduje

Katiba imetoa uhuru wa kuabudu chochoye liwe jiwe,chura au mtu au mavi

Sio kazi ya serikali kumwambia mtu kaabudu kanisa lile

Kasome katiba inatamka wazi kuwa serikali haina dini wewe
 
Nitajie jina la huyo shehe wa wilaya na wilaya yake nimekuambia ni ngumu mno kwa mtu aliyeusoma uislamu kuja kuwa mkristo
 
Ahahahaaa..!!! Mnatafuta huruma ya jamii..!!! Hujasajiliwa huwezi endesha kanisa. We fanya unabii wako wa nywele, kucha au hata mate, lakini hakikisha umesajiliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…