Msanii Platinum Member Joined Jul 4, 2007 Posts 25,252 Reaction score 36,513 Feb 17, 2021 #81 King Kisali said: Hao wote taarifa wanazo ila hawataki kuchukua hatua . Click to expand... Sijakosea kuwataja mkuu. Hao ndiyo watu pekee ambao wana nyenzo za kisheria kutatua matatizo na kero za wananchi. Endeleeni kuchagua viongozi ambao hawajui thamani ya kuelimika ndo mtavuna makapi daily
King Kisali said: Hao wote taarifa wanazo ila hawataki kuchukua hatua . Click to expand... Sijakosea kuwataja mkuu. Hao ndiyo watu pekee ambao wana nyenzo za kisheria kutatua matatizo na kero za wananchi. Endeleeni kuchagua viongozi ambao hawajui thamani ya kuelimika ndo mtavuna makapi daily
Clemence Mwandambo JF-Expert Member Joined Dec 2, 2018 Posts 1,378 Reaction score 1,427 Feb 17, 2021 #82 Kuna wengine huku SAA kumi na moja swalaaa swalaa spika zimefungwa karibu na nyumbani kwangu, mpaka kero yaani Dini hizi!
Kuna wengine huku SAA kumi na moja swalaaa swalaa spika zimefungwa karibu na nyumbani kwangu, mpaka kero yaani Dini hizi!
Chief Kabikula JF-Expert Member Joined Jan 1, 2019 Posts 7,567 Reaction score 9,037 Feb 17, 2021 Thread starter #83 Msanii said: Sijakosea kuwataja mkuu. Hao ndiyo watu pekee ambao wana nyenzo za kisheria kutatua matatizo na kero za wananchi. Endeleeni kuchagua viongozi ambao hawajui thamani ya kuelimika ndo mtavuna makapi daily Click to expand... Haujakosea kuwataja ila hawatimizi wajibu wao
Msanii said: Sijakosea kuwataja mkuu. Hao ndiyo watu pekee ambao wana nyenzo za kisheria kutatua matatizo na kero za wananchi. Endeleeni kuchagua viongozi ambao hawajui thamani ya kuelimika ndo mtavuna makapi daily Click to expand... Haujakosea kuwataja ila hawatimizi wajibu wao