binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Nimeipenda hiyo, upe MUDA, muda.Upe muda MUDA,afu utaona kama huyu Mama anatoboa 2025!naona humjui vyema huyu JK,akishaanza kuongeaongea ujue kuna mtu atamwaga kiwese siyo muda mrefu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeipenda hiyo, upe MUDA, muda.Upe muda MUDA,afu utaona kama huyu Mama anatoboa 2025!naona humjui vyema huyu JK,akishaanza kuongeaongea ujue kuna mtu atamwaga kiwese siyo muda mrefu
Arusha maji yamekuwa bidhaa adimu mnoChangamoto ya maji si ni dar tu!!
Maisha ni magumu sana, kila mtu anatafuta uteuziTanzania imevaa chupi kichwani Hadi wastafu nafasi kubwa kuliko zote wanakuwa machawa
Wanatafuta watu ubaya, au siyo?Wengine wawe wananyamaza tu. Wanakera watu.
Hakuna mstaafu chenga tu.umeme kwa sasa sio changamoto ni janga la Taifa.Halafu kutwa kucha wapumbavu wanamsifia Samia upuuzi wa hali ya juu kabisa.Wakati kilio cha mgawo wa maji na umeme, na uhaba wa sukari kikiendelea nchini, Rais mstaafu Jakaya Kikwete, amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa imara anapoendelea kutafuta suluhisho la changamoto hizo kwa kuwa ni mambo ya kawaida kwenye uongozi.
Kikwete amesema anachoonyesha Rais Samia katika kipindi hiki, kinadhihirisha ushupavu wake katika uongozi, akieleza changamoto ni sehemu ya uongozi na utulivu wake unawafanya wananchi pia kuwa watulivu.
Kauli ya Kikwete ameitoa katika kipindi ambacho kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa umeme, maji na sukari, ambayo bei yake imepanda maradufu.
Credit - Mwananchi
Rais huyu debe tu mfuniko na pipa imekutanaSasa mtu kama huyu naye ni wa kumsikiliza kweli!! Imagine anaongea huku akiwa anahudumiwa kila kitu kupitia kodi zetu, hata baada ya kustaafu!!
Hivi anajua hata shida wanazopitia wananchi kweli!!
Kikwete muulizeni kwanza kama yeye ananunua Sukari bei hii tuliyonayo wengi!Wakati kilio cha mgawo wa maji na umeme, na uhaba wa sukari kikiendelea nchini, Rais mstaafu Jakaya Kikwete, amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kuendelea kuwa imara anapoendelea kutafuta suluhisho la changamoto hizo kwa kuwa ni mambo ya kawaida kwenye uongozi.
Kikwete amesema anachoonyesha Rais Samia katika kipindi hiki, kinadhihirisha ushupavu wake katika uongozi, akieleza changamoto ni sehemu ya uongozi na utulivu wake unawafanya wananchi pia kuwa watulivu.
Kauli ya Kikwete ameitoa katika kipindi ambacho kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa umeme, maji na sukari, ambayo bei yake imepanda maradufu.
Credit - Mwananchi
Tz hata giggy money anaweza kuwa raisSasa ameongea nini huyu mstaafu?! Huwa sielewi ilikuwaje akawa raisi!
Labda kama neno shupavu lina maana nyengineLong live kikwete,alikuwa rais shupavu sana
Ule mradi haujaisha?!Arusha maji yamekuwa bidhaa adimu mno
Kashindwa lowassaTz hata giggy money anaweza kuwa rais
Ova
Siasa za hii nchii utaziweza sasa!!
Huyu Mzee asipokufa Tanzania tumekwisha.Huyu mzee na matapeli wenzake ndiyo wanafilisi nchi bila huruma
Kwa sasa wanakusanya hela za kampeni ya uchaguzi ili kiongozi tapeli abaki madarakani waendelee kufilisi nchi.Huyu mzee na matapeli wenzake ndiyo wanafilisi nchi bila huruma