Alichokisema Rais mstaafu Kikwete kuhusu Sukari na Umeme

Kwa hiyo amesema wananchi wakikosa umeme,maji,sukari nk ndiyo inaonyesha ushupavu wa kiongozi aliyeko madarakani siyo? Kwa hiyo nchi ikiwa na umeme wa uhakika,maji ya ugakika na sukari ya kutosha itakuwa kiongozi aliyeko madarakani ni goigoi siyo? Aisee sasa tumeelewa lengo la ccm kungangania madaraka, so bad Lucas mwashambwa
 
Hakuna mstaafu chenga tu.umeme kwa sasa sio changamoto ni janga la Taifa.Halafu kutwa kucha wapumbavu wanamsifia Samia upuuzi wa hali ya juu kabisa.
 
HahHa mstaafu aliyegoma kustaafu
 
Kikwete muulizeni kwanza kama yeye ananunua Sukari bei hii tuliyonayo wengi!
Je anazimikiwa umeme na kuharibikiwa vyakula kwa Friji?
Ananunu mafuta ya Gari yake?
Hayo tu!
 
Mzee ameona atoke vipi kubadili upepo wa maneno ya msiba wa ENL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…