Alichoniambia mdogo wangu nawaza mpaka sasa nimekosa la kujibu, naombeni msaada wenu

Alichoniambia mdogo wangu nawaza mpaka sasa nimekosa la kujibu, naombeni msaada wenu

Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Ww na mudogo yako wote ni wajinga.
Hili huwa linafanywa na wazee na ndugu mmoja kuchaguliwa kufanya hivyo bila wewe mhusika kujulishwa. Mtoto utakuwa ni wako kwa vile atafanana na ndugu. HII ILIKUWA TOP SECRET ila huyu sasa amekosea sana sana angehitaji ushauri toka kwa kaka yake basi na kaka angeomba ushauri kwa wazee.
 
Kam mdg ako Ni mmasai na au mke wake ninmmsai aje pm chapu nimuelekeze kwa bb mmoja ngaramtoni kule akapate dawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Kama uko serious, tunaweza kukushauri vizuri na ukamshauri mdogo wako Cha kufanya.

Hicho alichokuambia kimekuwa kikifanyika kwa Siri Sana kuanzia zamani lakini madhara yake emotionally sio mazuri.
 
"Mwanaume lazima awe mwanaume" mdogo wako ahudhurie kongamano hilo ambala huendeshwa na Mtume Mwamposa pale Kawe, Dar es salaam
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Angalia movie ya Kanumba "DANGEROUS DESIRE" hutatoka kapa. Guru Guja
 
Sishauri ufanye hivo, madaktari bingwa wapo watatue matatizo yao ikishindika na hata mitishamba ni dawa watafute wataalam
 
Kubali tu ili umuinulie nduguyo uzao ila ole wako umwagie chini utafanywa cha yule jamaa wa kwenye Bible.
 
Muulize kwanza ujue ana tatizo gani na alienda hospital gani. Kama ameenda hospital za ovyo ,aende NSK Hospital Arusha aonane na Dkt Lekundayo au St Thomas Hospital Arusha aonane na Dkt Msuya ,wote ni m gynecologists wabobezi na wamesaidia watu wengi , So aende huko kwanza then mengine aone itakuaje

Kaka umewajuaje hawa [emoji276][emoji276]
 
Kaka umewajuaje hawa [emoji276][emoji276]
Mm mwenyeji wa Arusha na nimewaelekeza watu wengi kwa hao watalaam wamefanikiwa . ni watu wanaojulikana sana Arusha . Na kote wanakubali bima. A friend of mine alioa 2010 alihangaika sana then nikapata hizo tips za hao watu akaenda kwao ,of course kuna vipimo aliombwa afanye hospital nyingine alete majibu , 2017 mwishoni akapata mtoto, so na mtoto wa 2 pia alirudi huko huko wakamsaidia. So yy na mke wake wana matatizo kwa natural way hawapeane mimba
 
Mdogo wangu alinifuata wiki moja iliyopita akitaka nimsaidie jambo moja. Huyu mdogo wangu ameoa, ana mke kwa muda wa miaka 4. Anatafuta mtoto naye hawajapata ata kidogo, sasa amekuja kwangu wiki iliyopita anasema anaomba nitembee na mke wake apate mtoto.

Sikuamini macho yagu kabisa, nikaona kama naota vile! Kumuuuliza tena anasema ni kweli ameamua kabisa. Amuulize zile siku za kupata mimba kisha amueleweshe saana mimi nikalale naye apate mimba.

Nimewaza sana sijui nimsaidiaje huyu bwana mdogo, maana yupo na hakika kabisa kabisa. Nimemuuliza je, kwanini asimshirikishe mkewe hilo jambo? Akainijibu nikitaka anaweza muita waje wote tu. Hilo jambo sasa sielewi, je, kweli nimlale mke wa mdogo wangu ili apate mimba? Sielewi maana ni kama ndoto kabisa!

Na mke mwenyewe ni mzuri sana kabisa. Je, nimlale? Je, nifanyeje na mdogo wangu ananikumbusha kila mara kuwa kaka nisaidie jambo langu?
Mwambie aende Muhimbili clinic ya mambo ya uzazi ili tatizo liwekwe bayana.

Kuna pia upandikizaji mimba kwa njia ya IUVF ,imeanza kufanya kazi nchini
 
Huenda mdogo wako anajijua yuko na shida ndiyo maana anaomba umsaidie.
 
Back
Top Bottom