Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Pamoja na wema wako, muda mwingine usifanye huo wema mtu humjui unajipa majukumu ya kukaa na mtoto wa mtu, uongozi wa hiyo kampuni ya hilo bus ulipaswa kufanya hilo jukumu. Lingetokea la kutokea?? Dunia haiko hivyo kama tunavyofikiria.
Umeongea point sana,mana lingetokea la kutokea ingekua ndo msalaba wake huo.
 
Nimeishia alipotamka atashukia mqosho wa gari Ubungo.

Daaj uongo kazi
ukiacha mbezi pale ndo zilipo ofice za mabasi mengi ya mkoa, na ndo zinapoanza na kumaliza safari zao pia.
 
Aisee!, Pole sana.
 
Tunakupa pole na pia tunasema endelea na mambo yako wengine wameenda mbali wakaweka na lugha ya malkia eti (Mind your own bussiness).

Ndugu zangu naungana nanyi pia kutoa pole ila niwakumbushe kuwa huyu ndugu haitaji pole tu ila kuponywa saikolojia yake maana mpaka hapo ameathirika vibaya.

Sasa nakutibu rafiki.
Kwenye saikolojia kwa hiko kitendo kuna kitu tunaita misexpectation yaani unategemea A ila inakuja B

Rafiki najua ulitegemea waseme asante hata ya mdomo pasipo chochote ila haijawa hivyo na mwisho ukaathirika kisaikolojia na pia ukajikatia tamaa kwa lile dogo ulilofanya

Sasa ili ukae sawa , tafuta sehemu kaa mwenyewe kumbuka ni mangapi uliwahi wadispoint watu waliokutendea wema ila walikusame na maisha yakaendelea ( usiniambie hukuwahi kumdisappoint mtu )

Chukua muda mwingi kuyakumbuka hayo uliyowadisappoint watu walau lisaa kumbuka kila moment then kaa kumbuka ulivyotoa msaada kwa hao wadada mwisho utajihisi amani ya moyo.

Ni hapo utasema wacha yapite , nakuhakikishia within a week hata ukilikumbuka hilo utaona kawaida.

Pole embu tibika kwanza.

Tanzania my country.[emoji120]
 
Mambo mengine unakausha tu mura sio kila kitu ni cha kuweka kwenye mtandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…