Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Ahh mm kusafiri na mtoto wa mtu nlishaachaga nilipanda bus moja toka mkoa x kwenda dar bas pembeni alikalishwa dogo mzazi wake akanipanamba na kuomba nimfikishe town niliwasiliana vizur na mwenyeji wake kufika town kila nikimtafta simpati nkampeleka dogo kituo cha polisi nkawaelezea nkamuacha pale na namba za simu kesho yake jioni ndio huyo mwenyeji ananitafta anauliza yuko wapi mwanae dah nilimpa matusi kama yote maana unajijua una mtu unamngoja kama simu imezima bas azima hata ya jirani baadae kampata mwanae polisi ananilaumu kwann nimpeleke polisi.

najiulizaga je ningempeleka kwangu alaf chochote kimkute mm ningekua salama.

Wabongo hatujui fadhila hata kidogo hivyo kuepusha kero mm namwambia mtu mkabidhi konda ndio utaweza mfuatilia vizur maana ukikamata gari umempata na konda wake kuliko mimi raia nikisepa na mwanao ndo bas tena unaweza usinipate
 
Hizii habr za kubadhiana na kupokea alisafirisha mwenyekiti wangu wa chama wilaya dawa za kulevya bila kujua,yeye alijuwa na viatu tuu,kumbe Kuna heroin ya kutosha viatu,siku zimepita ndio Kuna mtuu anakuja kumuliza mzigo wangu Kama vile utanifanyia kiasi gani?jaamaa mzigo gani Tena?anakuja kuambiwa kuwaa wewe ukujuwa wakti unapewa,alinyimika amani acha kabsa;kwaiyo habr za kusafilisha au kukabithiwa vitu kwenye mfuko Bora akabithi uongozi wa gari.

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ule mfumo wa Ujamaa ulituharibia sana nchi.

Mtu hakujui wala hamfahamiani anakukabidhi vipi mtoto na wewe ukakubali ..?
 
Hao ndio wanawake walio wengi, vichwa vyao bure kabisa, Kuna mmoja Leo asubuhi kaniomba 20,000 ya bundle ya internet, nikamwambia nitakutumia baadae nikimaliza kazi zangu, baadae alivyopokea sms hela imeingia, sasa badala ya kusema asante nimepata yeye anaanza kuniuliza, hivi wewe ndio umenitumia hii hela? Nikakata simu shenz type
Manzi mmoja kasha nifundisha , kwa sasa naona wanawake wote kama.akili ni moja tyu
 
Ahh mm kusafiri na mtoto wa mtu nlishaachaga nilipanda bus moja toka mkoa x kwenda dar bas pembeni alikalishwa dogo mzazi wake akanipanamba na kuomba nimfikishe town niliwasiliana vizur na mwenyeji wake kufika town kila nikimtafta simpati nkampeleka dogo kituo cha polisi nkawaelezea nkamuacha pale na namba za simu kesho yake jioni ndio huyo mwenyeji ananitafta anauliza yuko wapi mwanae dah nilimpa matusi kama yote maana unajijua una mtu unamngoja kama simu imezima bas azima hata ya jirani baadae kampata mwanae polisi ananilaumu kwann nimpeleke polisi.

najiulizaga je ningempeleka kwangu alaf chochote kimkute mm ningekua salama.

Wabongo hatujui fadhila hata kidogo hivyo kuepusha kero mm namwambia mtu mkabidhi konda ndio utaweza mfuatilia vizur maana ukikamata gari umempata na konda wake kuliko mimi raia nikisepa na mwanao ndo bas tena unaweza usinipate
Kazi zakufanywa na polisi unafanya raia ngoja siku meza ipinduke ndo mtajua hata kuuliza pahala tafuta polisi muulize utauliza utapitishwa maeneo magumu utajuta
 
Pole Mkuu..inauma sana..wapo wengi sana.
 
kifupi wewe siyo konda ulijipa majukumu yasiyo yako labda kwa sababu aliyekuomba mwanza ni mwanamke kichwa cha chini kikapumbuza akili..
 
Hi
Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri ubungo

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM
Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu

Sijui ni kabila gani watu wale
huyo mtoto atakuwa aliishi huko alikotoka kwa ugomvi, na walimtuma huyo mtoto kwako kama kifurushi, na huyo mama wa mtoto alijua wewe na yule aliyemtuma mtoto kwenye basi lenu ni moja. na si ukute yule aliyeagizia mtoto alimwambia kwenye simu wewe ni bwanake unakuja naye. kwahiyo aliwachukia yule na wewe kwenye kapu moja. sio rahisi mtu mzima kufanya alichofanya kama hakuna sababu ya msingi.
 
Hi
Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri ubungo

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM
Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu

Sijui ni kabila gani watu wale
Weye mjinga nini?
 
Watakuwa wasukuma nini

Sasa huyo dogo angepatwa na lolote jela ingekuhusu.

Usikubali kuwa mwema kupita kiasi
 
kuna padri mmoja alisha fariki alikuwa akihudumu katavi miaka iyo kwa stori za wazee jamaa alikuwa akikupa lifti alafu ushuke bila kushukuru anakuita anakuomba upande kwenye gari ana mazungumzo na wewe naskia chuma inachora unakurudisha alipo kutoa

amewahi warudisha jamaa katavi baada ya kuwafikisha sumbawanga na hawakushukuru

sema kushukuru kuna nguvu yake, nimewahi wasaidia watu wawili mmoja nilimtumia vocha ya buku 2 alipo pokea akanishukuru, mmoja nikamtumia elfu 24 hakushukuru nilirudisha muamala hadi leo hajui sababu
 
Hi
Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri ubungo

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM
Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu

Sijui ni kabila gani watu wale
Warundi hao, kama mwendazske.
 
Back
Top Bottom