Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Nilivyomwambia hivyo dogo akapotea mazima nikawa nambiwa tu kaja likizo kaondoka, sijui nini nasikia tu kwakua nikomsaidia kwa roho safi wala sikujuangaika natafuta wala nini, dogo kasoma kamaliza chuo karudi mtaani nasikia tu yupo ananikwepa tu miye sina mda amekaa mtaani miaka minne bila kazi

Siku moja anakuja na mama yane eti nimsaidie kupata kazi aisee niliwafukuza kama mbwa na matusi kibao
Usingemfukuza mkuu ni ujinga tu ulikua unamsumbua, alifikiri kw hiamba akimaliza Chuo amemaliza maisha yaan atapata kazi na kuendelea na mambo mengine bila wewe,
 
Miye kuna kijana mmoja alikuja omba msaada nimsaidie mahitaji aweze kuhitimu kidato cha nne kwani wazazi wake hali zao si nzuri kwakua nilikuwa jirani yao uhalisia nilimuona, nikamua msaidia dogo sare za shule, mahitaji madogo madogo nikamwambia awe free na kweli akawa free pale anapoitaji mahitaji pesa ya tution na nikawa namsisitiza akomae akaze si anaona hali ya ni mkubwa wake apambane aje msaidia mama dogo alikuwa msikivu sana na alipambana akahitumu kidato cha nne, matokeo yalipotoka akafauru akachaguliwa kujiunga kidato cha tano, mikoani uko napo tukapambana mahitaji nk dogo anaenda akakaza akafauru kidato cha sita napo

Tukapambana tena mtafutia chuo pesa ya application vyuo bosi ya mkopo mpaka pocket money aende chuo kikuu akaenda mungu akamsaidia akapata mkopo, alipopata mkopo ananiambia nikasema sawa soma ila upatapo boom usimsahau mama yako japo elfu hamsini tu, ila endapo utakuwa unakwama tuendelee wasiliana

Nilivyomwambia hivyo dogo akapotea mazima nikawa nambiwa tu kaja likizo kaondoka, sijui nini nasikia tu kwakua nikomsaidia kwa roho safi wala sikujuangaika natafuta wala nini, dogo kasoma kamaliza chuo karudi mtaani nasikia tu yupo ananikwepa tu miye sina mda amekaa mtaani miaka minne bila kazi

Siku moja anakuja na mama yane eti nimsaidie kupata kazi aisee niliwafukuza kama mbwa na matusi kibao
Safi sana..
 
Aiseeee next time usifanye hilo kosa Tena. Unasafirisha binadamu! Parcel? Labda niwe nakufahamu nje ndani
 
Nimetafakari hiki kisa...

Nimeona kuna kosa moja la 'kiufundi' ambalo lingeweza kukugharimu...

Unaanzaje kukubali kuambatana na mtoto mdogo usiyemjua wala hakujui, hujui historia yake, humjui aliyekukabidhi, hujui afya yake...

Siku nyingine unaweza kuja kupatana na kesi zisizo na kichwa wala miguu, na nchi yetu ilivyo hadi ijulikane huna hatia utakuwa ushapoteza vingi...

Ukiacha hilo, kuna siku utakuja kuuziwa jumba bovu, kumbe mtu anatafuta magali tu pa kumdump mtoto maana yeye kashindwa malezi...
 
Nimetafakari hiki kisa...

Nimeona kuna kosa moja la 'kiufundi' ambalo lingeweza kukugharimu...

Unaanzaje kukubali kuambatana na mtoto mdogo usiyemjua wala hakujui, hujui historia yake, humjui aliyekukabidhi, hujui afya yake...

Siku nyingine unaweza kuja kupatana na kesi zisizo na kichwa wala miguu, na nchi yetu ilivyo hadi ijulikane huna hatia utakuwa ushapoteza vingi...
Hio ndio concern yangu KUBWA sana, angemkabidhi dereva au conductor. Wema mwingine ni hatari kwako mwenyewe
 
Hao watakua ni watu Wa Musoma/Tarime,cha kufanya Andika sms umtumie yule wa Mwanza Mwambie Tumepat Ajali mtoto kaumia sana tupo hospital Tangu juzi,Leo ndo tumepata Ahueni,
Huyo mdada Lazima atapiga,akipiga unampa vidonge.
 
Hao watakua ni watu Wa Musoma/Tarime,cha kufanya Andika sms umtumie yule wa Mwanza Mwambie Tumepat Ajali mtoto kaumia sana tupo hospital Tangu juzi,Leo ndo tumepata Ahueni,
Huyo mdada Lazima atapiga,akipiga unampa vidonge.
Alishajua kuwa mzigo umefika!
 
kuna padri mmoja alisha fariki alikuwa akihudumu katavi miaka iyo kwa stori za wazee jamaa alikuwa akikupa lifti alafu ushuke bila kushukuru anakuita anakuomba upande kwenye gari ana mazungumzo na wewe naskia chuma inachora unakurudisha alipo kutoa

amewahi warudisha jamaa katavi baada ya kuwafikisha sumbawanga na hawakushukuru

sema kushukuru kuna nguvu yake, nimewahi wasaidia watu wawili mmoja nilimtumia vocha ya buku 2 alipo pokea akanishukuru, mmoja nikamtumia elfu 24 hakushukuru nilirudisha muamala hadi leo hajui sababu

Hiyo ilinikuta mkuu, alikuwa ni manzi 1 hivi nilimtumia kama 50k. Tena nikampigia simu umeipata?? Alijibu kishujaa bila hata shukrani man, nilipata hasira nikasema shenzi hata Ahsante hana nikarudisha muamala within a minute.
Baadae anakuja kunipigia nikamwambia ajifunze shukrani
 
hao watakua wajita bila shaka......me kuna mmoja juzi alizidishia chanchi bila kujua nikaondoka mana siku hesabu hela nafika nyumban ananipigia simu asee nmekuzidishia hela nkaangalia nkamwambia ni kwel

kwa sababu kesho nakuja kula tena kitimoto nitakuja nayo tukaagana

badae kama saa limepita kapiga simu tena af nlikua bize na kazi nikapokea ananieleza tena kitu hiko hiko nkakasrika nkamwambia kata simu yako nina kazi nafanya hela yako nmekwambia nitakuja kesho kula tena hapo huelewi nn???

kesho nkaenda nkampa hela yake ila alinikera sana

Pengine ni hela ya hesabu usimlaumu sana.
 
Hi
Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri ubungo

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM
Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu

Sijui ni kabila gani watu wale
...Jingazz Sana hao. Uwe TU na Amani Mkuu. Umeishanya wema wako nenda wako. Achana nao Wajingazz hao...!
 
Hi
Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri ubungo

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM
Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu

Sijui ni kabila gani watu wale
Angalizo tu usikubali kufanya kitu kama hichi tena. Kama mtu humjui au huwajui usifanye ujinga kama huu unadhani ingetokea kitu kwa yule mtoto? au labda mtoto kaibiwa unaweza kuingia kwenye matatizo makubwa kwa nia yako nzuri tu, angetaka angemkabidhi kwa wenye bus akalipia sio wewe. muhimu pole ila chukuwa kama funzo usikubali kuchukua mtu wala mzigo wa mtu.
 
Wanawake wengi sikuhizi hawana hata ule utu wa kawaida.
Wameharibiwa na maisha ya kimjini mjini
 
Kitendo cha Mama wa huyo mtoto kua anakubipu kila muda kilikua kinatosha kabisa kwako kutambua kwamba hao watu sio wastaarabu.
 
Back
Top Bottom