Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Hi
Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri ubungo

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM
Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu

Sijui ni kabila gani watu wale

Noma sana hadi nimecheka
 
Nishawahi kutenda wema wa pesaa nikalipwaaa kutapeliwaa lakini wew mkuu wema wakoo ulivuka kipimo lakini Ulicholipwaa aiseee hao wamama kuna jambo litawapata hawatajua kuwa ni Laana ya walichokufanyiaa...!! Pole sanaa dunia hii kumtendea wema hasa mwanamke jiulize mara mbilii hawa viumbe sio kabisaa..
 
ulikosea yule mama hakujua kama wewe ndie ulikuja na huyo kijana ulitakiwa ujitambulishe alifikiri unataka kumtongoza, na yule mwanamke wa mwanza wanawake wengi shida yao inapoisha huwa wanasahau namba za simu namba za simu wanazokumbuka ni zile wanazopata pesa kwa kuomba ndio huzishika na kusave
 
ulikosea yule mama hakujua kama wewe ndie ulikuja na huyo kijana ulitakiwa ujitambulishe alifikiri unataka kumtongoza, na yule mwanamke wa mwanza wanawake wengi shida yao inapoisha huwa wanasahau namba za simu namba za simu wanazokumbuka ni zile wanazopata pesa kwa kuomba ndio huzishika na kusave
Ilitakiwa umshukuru jamaa. Ata kusema asante tu.
 
ulikosea yule mama hakujua kama wewe ndie ulikuja na huyo kijana ulitakiwa ujitambulishe alifikiri unataka kumtongoza, na yule mwanamke wa mwanza wanawake wengi shida yao inapoisha huwa wanasahau namba za simu namba za simu wanazokumbuka ni zile wanazopata pesa kwa kuomba ndio huzishika na kusave
Sasa huyo mama yeye hakumuona jamaa anampa salam???? Salam tu hajaitikiaa.. na alikuwa anawasiliana na mtu muda wote why hakuuliza huyo mtu yukp wapi??? Wew inawezekana ni mwanamke ila usitetee upuuzi wa mwanamke mwenzioo..
 
Sukuma gang ndio hiyo sasa
Hapana mkuu dada zangu wanaheshima sana
JamiiForums-46811511.jpg
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Tenda mema uende zako.
Hiyo ulivyotenda ni sadaka.
 
Hawo viroboto ndiyo wanasababisha watu wenye mahitaji ya kweli wakose msaada, maana unakuja kujiuliza hivihuyu nikimsaidia si ndiyo wale wale wasiokuwa na shukrani. Ukishamsaidia hana muda na wewe, Mwengine unamtumia hela kwenye simu akiipata hatakwambia, mpaka umpigie tena umuulizie kama aliipata.
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Usirudie tena hilo kosa ulilofanya iko siku utapewa msala utakoma kazi za kusafirisha mtoto anapewa konda mimi kuna mtoto wa Shemeji yangu yaani dada mdogo wa mke wangu mtoto mwenyewe ni wa kiume huwa anasoma huku Mwanza darasa la tatu englisha medium.
Kila likizo huwa nampakia kwenye basi unampa konda buku 10 mtoto anafika vizuri tu .Imagine bahati mbaya huyo mtoto augue akate roho wewe utakuwa na wakati gani? polisi utakwenda japo hutafungwa lakini utavunja ratiba zako.Imagine ulikuwa unakwenda dar ukapande ndege uende Ulaya huku una msala wa polisi maelezo.

Take care bro wema mwingine karaha hao wamama watakuwa ni wa kabila lileeeee silitaji liko huku kanda ya ziwa ni watu wa hovyo sana hata kuoa hawafai.Ukichunguza hao wadada wote wawili si ajabu hakuna hata mmoja mwenye mume maana angekuwepo mume angekuja stand shame on them
 
Hilo ndio tatizo la waswahili, maana sidhani kama huyo mama yake hakuwa na taarifa kama mtoto wake kuna mtu amekabidhiwa aje na Dar.
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Aiseee!
Kuna watu si waungwana kabisa..

Kuna mmoja naye hivyohivyo,alikabidhiwa mtoto.
Amehangaika na mtoto wee,yule mtoto ilikuwa anaishia Moro,yeye anapitiliza Dar.
Njia nzima anawasiliana vizuri kabisa na wa kumpokea.
Huwezi amini gari imefika Moro,yule wa kumpokea mtoto hayupo Stand,anapigiwa hapokei,
Hadi gari inaondoka hapokei.
Ikabidi aongee na kondakta wamuache mtoto zilipo ofisi zao.

Gari imeondoka dakika 10 mbele yule wa kumpokea anaanza kupiga simu na maneno ya kejeli.
Anaelekezwa pa kumchukua mtoto,amekaza fuvu..yaani,nikaimagine ningekuwa ndio mimi mtu aniletee hiyo miyeyusho.Sijui ningemjibu Nini.
Kuna mijitu ni mipumbavu jamani[emoji3064].


Kupitia hiyo scenario nilipata Somo,siwezi kujirisk kubeba mtoto wa mtu aisee.
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.

Pole sana Mkuu. Tenda wema, usingoje shukrani, walisema wahenga.
 
Red flags zilianza kuonekana mapema,yani mtu yeye ndiye mwenye shida,then anakubip wewe ndiyo umpigie.wewe una roho ya kipekee mkuu,me sina wema huo kabisa
 
Back
Top Bottom