Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Wema wako umekuponza hukutakiwa kukubali huo mzigo
Siku nyingine utatelekezewa mtoto inafika mwisho wa safari hakuna wa kumpokea mtoto unabaki na mzigo
Acha wafu wazikane mama mtoto afate mtoto wake mwenyewe mwanza kama aliweza kumzaa alishindwa Nini kumfate mwanae mwanza ?.....
Wema wake umemponzaje sasa? Kwani aliahidiwa malipo akimfikisha mtoto?
Jamaa anaona siyo ustaarabu mtu anakuletea mtoto halafu hata salamu yake hutaki siyo vizuri. Hakuna hasara yoyote kapata ila siyo ustaarabu kukataa hata salamu.
 
Next time usikubali kukabidhiwa mtoto. Unaweza pata Majanga makubwa maishani mwako. Wakambidhi kwa Kondakta
 
Walimwengu ndivyo tulivyo, ila tenda wema nenda zako
 
Hao ndio wanawake walio wengi, vichwa vyao bure kabisa, Kuna mmoja Leo asubuhi kaniomba 20,000 ya bundle ya internet, nikamwambia nitakutumia baadae nikimaliza kazi zangu, baadae alivyopokea sms hela imeingia, sasa badala ya kusema asante nimepata yeye anaanza kuniuliza, hivi wewe ndio umenitumia hii hela? Nikakata simu shenz type
Hujaelewa, huyo aliomba wengi sasa hakuwa na uhakika ni nani kati yenu katuma hela.
Mimi ilinitokea mwaka Jana Dec, hawa jamaa huenda kuhesabiwa kule moshi sasa mama/dada mmoja nafahamiana nae nadhani siyo mwadilifu, akaomba nauli kurudi huku znz nikakaa kama siku 2 nikamtumia hela lakini nilituma moja kwa moja toka kwa wakala halafu nikakausha.
Alipofika znz akashindwa kuniuliza lakini Kuna siku nikamwambia najua kwanini ulikaa kimya nilipokutumia hela. Akapaniki ooh simu ooh jirani sijui.
Nikamchana kwamba hakujua nani kamtumia maana aliomba wengi! Akatuliia hadi leo hajaomba Tena hela kwangu maana ilikuwa kawaida yake ni single maza.
 
Waandikie gazeti wote uwape makavu live kubandeki zao,
Umenipa funzo hapa sibebi au chukua zigo la mtu yoyote
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Nilivyo kisiran ningemchana palepalee shenzi kabisaaa
Pole ila usiache kutenda wemaa
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Ungemla 0719
 
Hhahhaaa umenifurahisha sanaa mimi na kisa kama chako kidogo vinafanana mimi mwaka 2018 nilikuwa natokea ifakara nimepanda bus la KIDINILO upande wangu ulibaki seat moja tu akaangia Dada moja hivi kwakweli muonekano wake inaonekana huko alikotoka alikuwa amechukizwa na jambo kwa kawaida mimi nikishapanda bus nikimsalimia.abiria ndo bus no story hadi mwisho wa safari ila kale kadada kakawa kaninipigisha story nyingi mimi kimyaa mwisho nikaona konda anakaita wewe dada usipomaliza.nauli yangu nakushusha njiani khhhheee nilishangaa kumbe katoa nauli nusu kwa kuahidi.nyingine atatumiwa.lakini.konda akawa haoni dalili basiii bwana kaka anza kuniomba nikakopeshe kakitumiwa katanirudishia nauli nikaons usumbufu sasa nikakapa elfu 7 kamalizie nauli huwezi amini baada ya kushuka hata kushukuru na kuniaga kaliondoka kimye.kimyaaa nami nikaachana nako hadi sasa sipendi zoeana na mtu kwenye vyombo vya umma napokuwa safarini.
 
Wewe na wengine humu msije mkakubali kubebeshwa Mtu( awe mtoto, kijana au mzee) au Mzigo yatakuja yawakute mambo makubwa yaharibu maisha yenu,

Huyo Mama alipaswa amkabidhi Mtoto wake kwa Dereva wa Bus na sio wewe Abiria, mbaya zaidi Mtoto alikua anatapika tapika angezidiwa huyo ungekoma.
 
Hao ndio wanawake walio wengi, vichwa vyao bure kabisa, Kuna mmoja Leo asubuhi kaniomba 20,000 ya bundle ya internet, nikamwambia nitakutumia baadae nikimaliza kazi zangu, baadae alivyopokea sms hela imeingia, sasa badala ya kusema asante nimepata yeye anaanza kuniuliza, hivi wewe ndio umenitumia hii hela? Nikakata simu shenz type
Mkuu hapa possibly aliomba hyo hela kwa watu wengi sasa hakujua yupi ametuma
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Mwisho wa wema wako ni wewe na Mungu,sio wewe na wao,umefanya sehemu yako Mungu atakulipa achana nao,kiustaharabu ilitakiwa hata huyo wa mwanza akupigie yeye mwenyewe akushukuru sio wewe umpigie.
 
𝕆𝕟𝕖 𝕡𝕣𝕚𝕟𝕔𝕚𝕡𝕒𝕝 𝕠𝕗 𝕝𝕚𝕗𝕖: 𝔻𝕒𝕚𝕞𝕒 𝕙𝕚𝕤𝕚𝕒 𝕫𝕒 𝕞𝕨𝕖𝕟𝕫𝕒𝕜𝕠 𝕦𝕤𝕚𝕣𝕦𝕙𝕦𝕤𝕦 𝕫𝕚𝕜𝕒𝕜𝕦𝕠𝕟𝕕𝕠𝕝𝕖𝕒 𝕗𝕦𝕣𝕒𝕙𝕒.

𝐴𝑐ℎ𝑎𝑛𝑎 𝑛𝑎𝑜, 𝑒𝑛𝑑𝑒𝑙𝑒𝑎 𝑛𝑎 𝑙𝑖𝑓𝑒!

𝐵𝑖𝑛𝑎𝑓𝑠𝑖 𝑇𝑎𝑛𝑔𝑢 𝑀𝑤𝑎𝑛𝑧𝑎 𝑛𝑖𝑛𝑔𝑒𝑚𝑘𝑎𝑡𝑎𝑎!
 
Pole Sana ndugu yangu Yani kusemaukweli, watu Wana roho mbaya Sana Ila usife moyo, Mwenyezi Mungu atakulipia.
 
Hao ndio wanawake walio wengi, vichwa vyao bure kabisa, Kuna mmoja Leo asubuhi kaniomba 20,000 ya bundle ya internet, nikamwambia nitakutumia baadae nikimaliza kazi zangu, baadae alivyopokea sms hela imeingia, sasa badala ya kusema asante nimepata yeye anaanza kuniuliza, hivi wewe ndio umenitumia hii hela? Nikakata simu shenz type
Mtakuwa mmeombwa wengi...sasa mafile yamechangamana hajui ni yupi kati yenu katuma..ilikuwa sahihi kuuliza
 
Ndio maana watu wanawakataaga hao watoto wanaosafirishwa kama vifurushi.

Shukuru Mungu huyo mama alikua anakusumbua, wengine ni mikausho mikali hadi unafika hujui huyo mtoto umuweke wapi
 
Ndio maana watu wanawakataaga hao watoto wanaosafirishwa kama vifurushi.

Shukuru Mungu huyo mama alikua anakusumbua, wengine ni mikausho mikali hadi unafika hujui huyo mtoto umuweke wapi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom