Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Alichonifanyia huyu mama Ubungo stendi ya mabasi sio uungwana

Miye kuna kijana mmoja alikuja omba msaada nimsaidie mahitaji aweze kuhitimu kidato cha nne kwani wazazi wake hali zao si nzuri kwakua nilikuwa jirani yao uhalisia nilimuona, nikamua msaidia dogo sare za shule, mahitaji madogo madogo nikamwambia awe free na kweli akawa free pale anapoitaji mahitaji pesa ya tution na nikawa namsisitiza akomae akaze si anaona hali ya ni mkubwa wake apambane aje msaidia mama dogo alikuwa msikivu sana na alipambana akahitumu kidato cha nne, matokeo yalipotoka akafauru akachaguliwa kujiunga kidato cha tano, mikoani uko napo tukapambana mahitaji nk dogo anaenda akakaza akafauru kidato cha sita napo

Tukapambana tena mtafutia chuo pesa ya application vyuo bosi ya mkopo mpaka pocket money aende chuo kikuu akaenda mungu akamsaidia akapata mkopo, alipopata mkopo ananiambia nikasema sawa soma ila upatapo boom usimsahau mama yako japo elfu hamsini tu, ila endapo utakuwa unakwama tuendelee wasiliana

Nilivyomwambia hivyo dogo akapotea mazima nikawa nambiwa tu kaja likizo kaondoka, sijui nini nasikia tu kwakua nikomsaidia kwa roho safi wala sikujuangaika natafuta wala nini, dogo kasoma kamaliza chuo karudi mtaani nasikia tu yupo ananikwepa tu miye sina mda amekaa mtaani miaka minne bila kazi

Siku moja anakuja na mama yane eti nimsaidie kupata kazi aisee niliwafukuza kama mbwa na matusi kibao
[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole mkuu.

Walikosa busara na hekima pia. Wasamehe tu na endelea kufanya wema kiasi uwezavyo, usiathiriwe na hao watu pori!
 
Aiseee!
Kuna watu si waungwana kabisa..

Kuna mmoja naye hivyohivyo,alikabidhiwa mtoto.
Amehangaika na mtoto wee,yule mtoto ilikuwa anaishia Moro,yeye anapitiliza Dar.
Njia nzima anawasiliana vizuri kabisa na wa kumpokea.
Huwezi amini gari imefika Moro,yule wa kumpokea mtoto hayupo Stand,anapigiwa hapokei,
Hadi gari inaondoka hapokei.
Ikabidi aongee na kondakta wamuache mtoto zilipo ofisi zao.

Gari imeondoka dakika 10 mbele yule wa kumpokea anaanza kupiga simu na maneno ya kejeli.
Anaelekezwa pa kumchukua mtoto,amekaza fuvu..yaani,nikaimagine ningekuwa ndio mimi mtu aniletee hiyo miyeyusho.Sijui ningemjibu Nini.
Kuna mijitu ni mipumbavu jamani[emoji3064].


Kupitia hiyo scenario nilipata Somo,siwezi kujirisk kubeba mtoto wa mtu aisee.
Sijawahi fanya hvyo Ila kupitia thred hii na shuhuda zenu siwezi saidia mtu kitu Kama hicho
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Kijana, tenda wema nenda zako usingoje shukurani.
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
Daaa,kwa wema wote ule!!Mwanza mpaka Dar!!unambebea mtoto na hakuna Asante!!!
Mijitu kama hiyo ndio inafanya tuache kufanya wema.
Ila Mimi nimeishajifunza,huwa sitegemei jema kutoka kwa yoyote,nikifanyiwa jema,poa,nikifanyiwa ubaya,Wala hata sifikirii maana sikutegemea chochote.
 
Sijawahi fanya hvyo Ila kupitia thred hii na shuhuda zenu siwezi saidia mtu kitu Kama hicho
Mimi mwenyewe nimepata somo Mkuu.
Kupitia hii scenario ya jamaa,nikakumbuka recently nimeliona hilo linamtokea jirani yangu kwenye bus.
 
kuna padri mmoja alisha fariki alikuwa akihudumu katavi miaka iyo kwa stori za wazee jamaa alikuwa akikupa lifti alafu ushuke bila kushukuru anakuita anakuomba upande kwenye gari ana mazungumzo na wewe naskia chuma inachora unakurudisha alipo kutoa

amewahi warudisha jamaa katavi baada ya kuwafikisha sumbawanga na hawakushukuru

sema kushukuru kuna nguvu yake, nimewahi wasaidia watu wawili mmoja nilimtumia vocha ya buku 2 alipo pokea akanishukuru, mmoja nikamtumia elfu 24 hakushukuru nilirudisha muamala hadi leo hajui sababu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana kuna binadamu wa ajabu sana katika hii dunia potezea endelea na maisha yako mshukuru Mungu kwa kufika salama.
 
Mimi.nikisafiri sitaki usumbufu nisingekubali beba mtoto wa mtu...
 
Pole sana mkuu, nadhani walikuwa wanaogopa malipo
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
E bana toa taarifa polisi, isije kuwa umesafitisha mtoto wa kafara.
 
Wanawake wengi ndo wako hivyo, naweza omba pesa usipompa anakupotezea na ukimpa anakupotezea pia, mi huwa naona bora anichunie kwa kutompa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hi,

Sikuhitaji anishukuru wala sikuhitaji anilipe hapana ila mikausho aliyo nionyesha kwa kweli ameninyanyasa kihisia.

Nilikua natoka Mwanza nakuja Dar niliwahi mapema sana kufika pale ofisini kwao yanakolala magari panaitwa Nata nikapanda nika kaa kwenye seat yangu ilikua msitari wa tatu kutoka mlango wa kuingilia na abiria wengine wakaingia sasa kuna dada mmoja kaingia akiwa na mtoto wa kiume mwenye umri kama miaka kumu hivi wakatafuta seat yao wakaipata.

Kumbe seat yake ilikua pamoja na mimi basi yule dada akaniuliza samahani kaka unashuka wapi nikamjibu nashuka mwisho ubungo yule dada kanikabidhi yule mtoto eti nimfikishe ubungo atapokelewa na mzazi wake na akanipa namba yake na namba ya mama wa huyo mtoto ambaye anatusubiri Ubungo.

Chuma ikaondoka ikapitia stendi kuu ya mabasi Nyegezi ikakusanya abiria wengine ilipofika saa 06:00 AM chuma zikaruhusiwa zikaanza kuikata mikoa kuitafuta Dar sasa huko njia yule mama ambae yuko Dar anasumbua kwenye simu kibaya zaidi ana beep mimi ndio nampigia anauliza mmefika wapi namueleza tuko sehemu fulani anatulia baada tena ya saa moja ana beep tena nampa maelezo yote tulipo fika mara abeep napiga anataka kuongea na mwanae okay sio mbaya nampa simu anaongea na mwanae.

Sikuweza hata kumnunulie dogo snacks sababu alikua anatapika kichefu chefu kinamshika mara kwa mara hata tulipo fika pale singida hotelini msosi alio nunua hakumaliza tumekuja mpaka giza linaaza kuingia bado hatujaingia hata Moro town yule mama bado ana endelea kuuliza tumefika wapi nampa maelezo yote tulipofika anatulia mpaka tunaingia Dar saa 23:58 PM.

Mpaka tunaingia stendi ananiuliza namwabia ndio tunaingia stendi bus tuliomo sisi ni Zuberi no2 chuma kimetafuta sehemu kika park vizuri abiria tukaanza kushuka nikampigia ndio tunashuka akasema haya na mimi niko hapa hapa tumeshuka huku dogo nimemshika mkono dogo kaniponyoka bwana kamkimbilia mama ake wameonana wana kumbatiana nikawasogelea nikasubiri wakumbatiane wamalize ili niwaage kua mimi naenda mwanao usha muona maana mmenikabidhi inabidi na mimi niwakabidhi.

Huwezi amini yule dada namemkaribia namsalimia kajikausha nikajua hajasikia nikaongeza sauti nikasalimia tena kanisikia hajaitikia kaniangalia alafu kanipotezea nikaona isiwe tabu niwaage mimi niende haya mimi naenda kimya hakuna hata mmoja alie nijibu nikaondoka zangu nimefika home nimelala kesho nampigia simu yule dada wa mwanza alie nikabidhi mtoto ili nimjulishe kua mtoto alifika kwa mama yake salama yule dada wa mwanza nae pia hapokei simu.

Sijui ni kabila gani watu wale.
watu wengi wa kanda ya ziwa hawana shukrani wala fadhila, wakiwa na shida sasa hahahahahah
 
Back
Top Bottom