Heeeee ngoja na mimi nikaimprove grammar zangu huko shoga.ukitaka kumjua zari nenda istagram kwa thecelebchronicles ni waganda wanamjua mwanzo mwisho utashangaa
ila kama unachamba ni kiingereza tu ukienda na kiswahili chako unablokiwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Du sikuwezi, itabidi upandishwe cheo😀😀😀
Ukweli ni kwamba nikija kwenye uzi kama huu huwa sisomi comments zozote huwa nasaka comments zilizoandikwa au iliyoandikwa na NifahNgojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Hujaona question mark hapo? Au nimezeeka mamaZari hana time na Mange?Si bora ungeuliza tu kwanza kama ana muda nae au hana?
Zari anamfuatilia Mange sana tu...kipindi ambacho sakata la talaka ya Mange lilikuwa hot mbona alitupia mafumbo Snapchat?
Zari sio yule classic Lady wa zamani,sasa hivi kawa hovyo sana.
Safiii, sehemu poa sana kuanzia msosi wake hiyo! Hamna bbq wabongo this time bana?Mi ntakuwepo mjini tu...labda ntaenda Avalon pale Crú Wine Bar....
Afu kwa nn Mange anamtafuta sana zari ila zari hana time naye?
Hujaona question mark hapo? Au nimezeeka mama
uko vizuri sana siku hizi!!Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Unazingua sasa chalii,kwani huwaoni Instagram?Ngoja nije huko dar sasa nije niyashuhudie mwenyewe sasa nimechoka kusimuliwa! Huku Arusha kuna maceleb uchwara!
Amekuwa mswahili balaaZari hana time na Mange?Si bora ungeuliza tu kwanza kama ana muda nae au hana?
Zari anamfuatilia Mange sana tu...kipindi ambacho sakata la talaka ya Mange lilikuwa hot mbona alitupia mafumbo Snapchat?
Zari sio yule classic Lady wa zamani,sasa hivi kawa hovyo sana.
Zaidi ya mswahili.Amekuwa mswahili balaa
Asante Nifah mtu wangu.Mtakatifu sana Ivuga...nimekujibu vile kutokana na hilo neno hapo kwa red.
Neno hilo ni kukanusha ya kwamba Zari yeye hana muda na Mange.
Labda nirahisishe...kama kweli ulikuwa na nia ya kuuliza ungesema hivi "Halafu mbona Mange anamfuata sana Zari ila sijawahi kumuona Zari akimfuata Mange?"
Hapo ni dhahiri kwamba ungekuwa hujui kuwa Zari nae anamfuata Mange pia...
Tofauti na ulivyokanusha kuwa hana time nae.
Nafikiri umeelewa sasa...
Cheers
Cheers,Asante Nifah mtu wangu.
Mimi nia yangu kama mwanaume wa dar nilikuwa nataka kujua kuwa kwa nini Mange anamfuata fuata sana zari? Na je zari hana time na Mange? Japo labda nilishindwa kuweka swali lielekewe vizuri.
Ila pamoja sana
Nawe pia NifahCheers,
Weekend njema.
Amejibu niniNa Chagga amemjibu ila amefuta...Zari mgomvi sana.(chagga anaishi Marekani)
Zari kawa mswahili na ana fekero la kuwa follow kina wema, mange, huko insta MTU akiwa kwenye official page yake huwa wajiona ma saint, but behind the scene sasa!!Asante Nifah mtu wangu.
Mimi nia yangu kama mwanaume wa dar nilikuwa nataka kujua kuwa kwa nini Mange anamfuata fuata sana zari? Na je zari hana time na Mange? Japo labda nilishindwa kuweka swali lielekewe vizuri.
Ila pamoja sana
Ukikaa na mtoto wa uswazi hata uweje lazma itafikia kipindi utabadilika tu utakuwa nawe mswazi.....Zari hana time na Mange?Si bora ungeuliza tu kwanza kama ana muda nae au hana?
Zari anamfuatilia Mange sana tu...kipindi ambacho sakata la talaka ya Mange lilikuwa hot mbona alitupia mafumbo Snapchat?
Zari sio yule classic Lady wa zamani,sasa hivi kawa hovyo sana.
Lkn mbona hiyo picha ya Huyo mdada hapo ambaye yupo na Ivan ni mdogo wake na zari?Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?