Alichopost Zari instagram

Alichopost Zari instagram

ukitaka kumjua zari nenda istagram kwa thecelebchronicles ni waganda wanamjua mwanzo mwisho utashangaa
ila kama unachamba ni kiingereza tu ukienda na kiswahili chako unablokiwa
Heeeee ngoja na mimi nikaimprove grammar zangu huko shoga.
Kuna kipindi nilikuwa nachambanaga na wazungu kwenye the celebrities nini sijui...
Tukutane huko [emoji126][emoji126][emoji126]
Na hivi simpendi nitachambaje?[emoji39][emoji39]
 
Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Ukweli ni kwamba nikija kwenye uzi kama huu huwa sisomi comments zozote huwa nasaka comments zilizoandikwa au iliyoandikwa na Nifah
 
Zari hana time na Mange?Si bora ungeuliza tu kwanza kama ana muda nae au hana?
Zari anamfuatilia Mange sana tu...kipindi ambacho sakata la talaka ya Mange lilikuwa hot mbona alitupia mafumbo Snapchat?
Zari sio yule classic Lady wa zamani,sasa hivi kawa hovyo sana.
Hujaona question mark hapo? Au nimezeeka mama
 
Afu kwa nn Mange anamtafuta sana zari ila zari hana time naye?

Mtakatifu sana Ivuga...nimekujibu vile kutokana na hilo neno hapo kwa red.
Neno hilo ni kukanusha ya kwamba Zari yeye hana muda na Mange.

Labda nirahisishe...kama kweli ulikuwa na nia ya kuuliza ungesema hivi "Halafu mbona Mange anamfuata sana Zari ila sijawahi kumuona Zari akimfuata Mange?"
Hapo ni dhahiri kwamba ungekuwa hujui kuwa Zari nae anamfuata Mange pia...
Tofauti na ulivyokanusha kuwa hana time nae.
Nafikiri umeelewa sasa...
Cheers

Hujaona question mark hapo? Au nimezeeka mama
 
Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
uko vizuri sana siku hizi!!
 
Ngoja nije huko dar sasa nije niyashuhudie mwenyewe sasa nimechoka kusimuliwa! Huku Arusha kuna maceleb uchwara!
 
Zari hana time na Mange?Si bora ungeuliza tu kwanza kama ana muda nae au hana?
Zari anamfuatilia Mange sana tu...kipindi ambacho sakata la talaka ya Mange lilikuwa hot mbona alitupia mafumbo Snapchat?
Zari sio yule classic Lady wa zamani,sasa hivi kawa hovyo sana.
Amekuwa mswahili balaa
 
Mtakatifu sana Ivuga...nimekujibu vile kutokana na hilo neno hapo kwa red.
Neno hilo ni kukanusha ya kwamba Zari yeye hana muda na Mange.

Labda nirahisishe...kama kweli ulikuwa na nia ya kuuliza ungesema hivi "Halafu mbona Mange anamfuata sana Zari ila sijawahi kumuona Zari akimfuata Mange?"
Hapo ni dhahiri kwamba ungekuwa hujui kuwa Zari nae anamfuata Mange pia...
Tofauti na ulivyokanusha kuwa hana time nae.
Nafikiri umeelewa sasa...
Cheers
Asante Nifah mtu wangu.
Mimi nia yangu kama mwanaume wa dar nilikuwa nataka kujua kuwa kwa nini Mange anamfuata fuata sana zari? Na je zari hana time na Mange? Japo labda nilishindwa kuweka swali lielekewe vizuri.
Ila pamoja sana
 
Asante Nifah mtu wangu.
Mimi nia yangu kama mwanaume wa dar nilikuwa nataka kujua kuwa kwa nini Mange anamfuata fuata sana zari? Na je zari hana time na Mange? Japo labda nilishindwa kuweka swali lielekewe vizuri.
Ila pamoja sana
Cheers,
Weekend njema.
 
Mtu ana party inakuja anaipaisha Aongelewe..
Na Niffah kakumbushia ya Chaggabebi pia, ilikuwa duh

Kwani mnafikiri miaka yote au niseme muda wote yupo na Diamond haongei na baba watoto? Mbona hata Tiffah anamjua? Wasipoongea wataleaje watoto wao.

Diamond na Zari wapo salama sana tu

Napenda njia zao za kuvuta pesa..
 
Asante Nifah mtu wangu.
Mimi nia yangu kama mwanaume wa dar nilikuwa nataka kujua kuwa kwa nini Mange anamfuata fuata sana zari? Na je zari hana time na Mange? Japo labda nilishindwa kuweka swali lielekewe vizuri.
Ila pamoja sana
Zari kawa mswahili na ana fekero la kuwa follow kina wema, mange, huko insta MTU akiwa kwenye official page yake huwa wajiona ma saint, but behind the scene sasa!!
 
Zari hana time na Mange?Si bora ungeuliza tu kwanza kama ana muda nae au hana?
Zari anamfuatilia Mange sana tu...kipindi ambacho sakata la talaka ya Mange lilikuwa hot mbona alitupia mafumbo Snapchat?
Zari sio yule classic Lady wa zamani,sasa hivi kawa hovyo sana.
Ukikaa na mtoto wa uswazi hata uweje lazma itafikia kipindi utabadilika tu utakuwa nawe mswazi.....
 
Ngojeni niwape ubuyu;iko hivi...kama mnamjua yule Mtanzania mwenzetu mwanadada anayeishi Marekani wa kujiita Chaggabarbie... (msiniulize kazi yake)ambaye aliwahi kumrusha roho Zari kwa kutoka na Ex wake (Ivan)....
Inasemekana Ivan alitoka na mdogo wake Chagga.
Hivyo Zari kupost ile picha ni dongo kwa Chagga wetu kuwa hainaga ushemeji tunakulaga (mdogo wake Chagga kutoka na Ivan)
Mpoooooo?
Lkn mbona hiyo picha ya Huyo mdada hapo ambaye yupo na Ivan ni mdogo wake na zari?
Atakuwa Huyo Huyo ndo aliliwa bana
Dhaaaaaaa!!!!!!?
 
Back
Top Bottom