Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani, nadhani huyo mwenye nyumba ametumia hilo bango kuziba tundu lililokuwepo kwenye ukuta wa tembe lake. Kule vijijini wengi wanavaa t-shirts za CCM si kwa sababu wanataka kukitangaza chama hicho, bali hiyo ni nguo mpya ambayo wameipata katika kipindi cha miaka mitano iliyopita na ndio maana zinavaliwa sana
Ngarama za kampeni zinatokana na uwezo wa chama. Sikumsikia Slaa akisema Mbowe asitumie Helicopter 2005 kuwafikia wapiga kura na badala yake ajenge shule. Licha ya uwezo mdogo wa kifedha
Basi na Chadema pesa wanazotumia kufanya kampeni, wazitumie kujenga shule...
Don't be fooled by politicians...
Ngarama za kampeni zinatokana na uwezo wa chama. Sikumsikia Slaa akisema Mbowe asitumie Helicopter 2005 kuwafikia wapiga kura na badala yake ajenge shule. Licha ya uwezo mdogo wa kifedha
Basi na Chadema pesa wanazotumia kufanya kampeni, wazitumie kujenga shule...
Don't be fooled by politicians...