Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa

Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa

Tunamuombea apone, na akipona awache matusi.

Kuna watu ni heri uwapige kuliko kuwatukana, hususan mtandaoni.

Hili liwe fundisho kwa wengi, hata humu JF kuna watu wanadhani hawatojulikana wakitukana, nawaasa, hakuna asiyeweza kupatikana mradi kaweza kuingia kwenye mtandao. Hata uje na id feki vipi au utumie apn. Pegasus ikikutaka inakupata tu.
 
Katavi Mbuga ya wanyama wakali na hapo Mto Iku ndipo makutanyiko ya wanyama.
SATIVA (Sijui kama ndio jina lake halisi) akubali kwamba Mungu ameamua kubakiza maisha yake "spare his life" kwa namna ya ajabu sana. Nitachambua kidogo kwa uelewa wangu kidogo.

Wauwaji ni wazi walipompiga risasi walijua wamempiga kichwani kulenga ubongo na kama kawaida ya risasi ya kichwa lazima aanguke na apoteze fahamu hata kama ingepiga sikio tuu, hivyo kuwahadaa watekaji wake kama mamemuua.
Na lazima watekaji walikuwa na kiwewe na haraka ya kukutwa na askari wa wanyamapori waliopo hapo Iku maana ndipo kambi yao ilipo, kufuatia mlio wa bunduki hivyo waliondoka upesi eneo hilo wakijua wameua tayari na hasa ukizingatia ni usiku.
Hawakuwa na muda wa kumtizama walijua tayari kazi imekwisha na ndio kupona kwa huyu jamaa. Ni wazi walikuwa na nia ya kumuua sababu walichagua kumpiga kichwani kutoka nyuma, maana kikanuni ukitaka kumuua mtu akiwa amekupa mgongo unampiga kichwa kutoka nyuma, kulenga ubongo wote wa mbele, wa kati na wa nyuma. Ni ukitaka kumuua mtu amekugeukia (anakuangalia) unapiga eneo la moyo ukiwa mbele. Ni nadra kumuua mtu kwa bunduki ndogo kama bastola kutoka nyuma kulenga moyo, risasi maranyingi hujisokota kwenye uti wa mgongo au kuishia kwenye mapafu hivyo kushindwa kufikia vital organs za kumfanya afe maramoja. Hawa ni weledi watu wenye mafunzo maana bila shaka walimfunga pingu nyuma "Handcuffed" na walitaka asiwaone, kumvalisha kitambaa "Blindfolded" na kumpiga risasi ya kichwa wakilenga kumwaga ubongo afe maramoja "Instantly killing".

Kuna mtu nilimsikia anasema, wenda kulikuwa na kujifanya amekufa "Play dead" kuwahadaa watekaji. Sio kweli, bunduki inatabia ya kuvuruga fahamu kwa mlio, nguvu hofu na mstuko mkubwa anaoupata victim hasa kwenye ukaribu "close range", hivyo ilikuwa lazima apoteze fahamu na aanguke hata kama risasi haijamfanyia damage kubwa.
Huyu Bwana ameponea bahati tuu, ni mambo yanatokea marachache sana haya. Kupona risasi ya kichwa kwa muktadha kama huu ni nadra sana bila kujali umakini wa muuwaji wake alikuwa makini kiasi gani. Ni wazi Muuaji alikuwa confident kuwa ameshamuua, na hivi sasa anajiuliza imekuwaje huyu bwana yupo hai hapati pia majibu.

Inasikitisha sana watanzania tunafanyiana namna hii, wangeweza kutumia namna nyingine ya kumtisha huyu kijana mdogo wenda labda alikuwa aggressive sana kushambulia, ila bado walikuwa na option ya namna nyingine ya kumuonya na kumtisha.

Ni sisi tuu kwa karne hii ndio bado tuna mbinu za kizamani za kudeal na watu wetu namna hii, ni mbinu za kipuuzi hazina nafasi kwenye karne hii kwa watu wetu.

This is definitely barbaric, uncouthed and presumptuous way of dealing with our people.
It's like we're dealing with the SS of the Third Reich or The Stasi. This makes me sick to my stomach.​
 
Tunamuombea apone, na akipona awache matusi.

Kuna watu ni heri uwapige kuliko kuwatukana, hususan mtandaoni.

Hili liwe fundisho kwa wengi, hata humu JF kuna watu wanadhani hawatojulikana wakitukana, nawaasa, hakuna asiyeweza kupatikana mradi kaweza kuingia kwenye mtandao. Hata uje na id feki vipi au utumie apn. Pegasus ikikutaka inakupata tu.
Humu JF kuna wapuuzi mno ety Melo ameruhusu kutumia fake ID 😂 utadhani kuna mtandao wamekataza kutumia fake ID
 
Katavi Mbuga ya wanyama wakali na hapo Mto Iku ndipo makutanyiko ya wanyama.
SATIVA (Sijui kama ndio jina lake halisi) akubali kwamba Mungu ameamua kubakiza maisha yake "spare his life" kwa namna ya ajabu sana. Nitachambua kidogo kwa uelewa wangu kidogo.

Wauwaji ni wazi walipompiga risasi walijua wamempiga kichwani kulenga ubongo na kama kawaida ya risasi ya kichwa lazima aanguke na apoteze fahamu hata kama ingepiga sikio tuu, hivyo kuwahadaa watekaji wake kama mamemuua.
Na lazima watekaji walikuwa na kiwewe na haraka ya kukutwa na askari wa wanyamapori waliopo hapo Iku maana ndipo kambi yao ilipo, kufuatia mlio wa bunduki hivyo waliondoka upesi eneo hilo wakijua wameua tayari na hasa ukizingatia ni usiku.
Hawakuwa na muda wa kumtizama walijua tayari kazi imekwisha na ndio kupona kwa huyu jamaa. Ni wazi walikuwa na nia ya kumuua sababu walichagua kumpiga kichwani kutoka nyuma, maana kikanuni ukitaka kumuua mtu akiwa amekupa mgongo unampiga kichwa kutoka nyuma, kulenga ubongo wote wa mbele, wa kati na wa nyuma. Ni ukitaka kumuua mtu amekugeukia (anakuangalia) unapiga eneo la moyo ukiwa mbele. Ni nadra kumuua mtu kwa bunduki ndogo kama bastola kutoka nyuma kulenga moyo, risasi maranyingi hujisokota kwenye uti wa mgongo au kuishia kwenye mapafu hivyo kushindwa kufikia vital organs za kumfanya afe maramoja. Hawa ni weledi watu wenye mafunzo maana bila shaka walimfunga pingu nyuma "Handcuffed" na walitaka asiwaone, kumvalisha kitambaa "Blindfolded" na kumpiga risasi ya kichwa wakilenga kumwaga ubongo afe maramoja "Instantly killing".

Kuna mtu nilimsikia anasema, wenda kulikuwa na kujifanya amekufa "Play dead" kuwahadaa watekaji. Sio kweli, bunduki inatabia ya kuvuruga fahamu kwa mlio, nguvu hofu na mstuko mkubwa anaoupata victim hasa kwenye ukaribu "close range", hivyo ilikuwa lazima apoteze fahamu na aanguke hata kama risasi haijamfanyia damage kubwa.
Huyu Bwana ameponea bahati tuu, ni mambo yanatokea marachache sana haya. Kupona risasi ya kichwa kwa muktadha kama huu ni nadra sana bila kujali umakini wa muuwaji wake alikuwa makini kiasi gani. Ni wazi Muuaji alikuwa confident kuwa ameshamuua, na hivi sasa anajiuliza imekuwaje huyu bwana yupo hai hapati pia majibu.

Inasikitisha sana watanzania tunafanyiana namna hii, wangeweza kutumia namna nyingine ya kumtisha huyu kijana mdogo wenda labda alikuwa aggressive sana kushambulia, ila bado walikuwa na option ya namna nyingine ya kumuonya na kumtisha.

Ni sisi tuu kwa karne hii ndio bado tuna mbinu za kizamani za kudeal na watu wetu namna hii, ni mbinu za kipuuzi hazina nafasi kwenye karne hii kwa watu wetu.

This is definitely barbaric, uncouthed and presumptuous way of dealing with our people.
Tufanye kama Gen z kupinga hii kitu; mnasemaje?
 
Tunamuombea apone, na akipona awache matusi.

Kuna watu ni heri uwapige kuliko kuwatukana, hususan mtandaoni.

Hili liwe fundisho kwa wengi, hata humu JF kuna watu wanadhani hawatojulikana wakitukana, nawaasa, hakuna asiyeweza kupatikana mradi kaweza kuingia kwenye mtandao. Hata uje na id feki vipi au utumie apn. Pegasus ikikutaka inakupata tu.
Ni nani ametukanwa?
 
Katavi Mbuga ya wanyama wakali na hapo Mto Iku ndipo makutanyiko ya wanyama.
SATIVA (Sijui kama ndio jina lake halisi) akubali kwamba Mungu ameamua kubakiza maisha yake "spare his life" kwa namna ya ajabu sana. Nitachambua kidogo kwa uelewa wangu kidogo.

Wauwaji ni wazi walipompiga risasi walijua wamempiga kichwani kulenga ubongo na kama kawaida ya risasi ya kichwa lazima aanguke na apoteze fahamu hata kama ingepiga sikio tuu, hivyo kuwahadaa watekaji wake kama mamemuua.
Na lazima watekaji walikuwa na kiwewe na haraka ya kukutwa na askari wa wanyamapori waliopo hapo Iku maana ndipo kambi yao ilipo, kufuatia mlio wa bunduki hivyo waliondoka upesi eneo hilo wakijua wameua tayari na hasa ukizingatia ni usiku.
Hawakuwa na muda wa kumtizama walijua tayari kazi imekwisha na ndio kupona kwa huyu jamaa. Ni wazi walikuwa na nia ya kumuua sababu walichagua kumpiga kichwani kutoka nyuma, maana kikanuni ukitaka kumuua mtu akiwa amekupa mgongo unampiga kichwa kutoka nyuma, kulenga ubongo wote wa mbele, wa kati na wa nyuma. Ni ukitaka kumuua mtu amekugeukia (anakuangalia) unapiga eneo la moyo ukiwa mbele. Ni nadra kumuua mtu kwa bunduki ndogo kama bastola kutoka nyuma kulenga moyo, risasi maranyingi hujisokota kwenye uti wa mgongo au kuishia kwenye mapafu hivyo kushindwa kufikia vital organs za kumfanya afe maramoja. Hawa ni weledi watu wenye mafunzo maana bila shaka walimfunga pingu nyuma "Handcuffed" na walitaka asiwaone, kumvalisha kitambaa "Blindfolded" na kumpiga risasi ya kichwa wakilenga kumwaga ubongo afe maramoja "Instantly killing".

Kuna mtu nilimsikia anasema, wenda kulikuwa na kujifanya amekufa "Play dead" kuwahadaa watekaji. Sio kweli, bunduki inatabia ya kuvuruga fahamu kwa mlio, nguvu hofu na mstuko mkubwa anaoupata victim hasa kwenye ukaribu "close range", hivyo ilikuwa lazima apoteze fahamu na aanguke hata kama risasi haijamfanyia damage kubwa.
Huyu Bwana ameponea bahati tuu, ni mambo yanatokea marachache sana haya. Kupona risasi ya kichwa kwa muktadha kama huu ni nadra sana bila kujali umakini wa muuwaji wake alikuwa makini kiasi gani. Ni wazi Muuaji alikuwa confident kuwa ameshamuua, na hivi sasa anajiuliza imekuwaje huyu bwana yupo hai hapati pia majibu.

Inasikitisha sana watanzania tunafanyiana namna hii, wangeweza kutumia namna nyingine ya kumtisha huyu kijana mdogo wenda labda alikuwa aggressive sana kushambulia, ila bado walikuwa na option ya namna nyingine ya kumuonya na kumtisha.

Ni sisi tuu kwa karne hii ndio bado tuna mbinu za kizamani za kudeal na watu wetu namna hii, ni mbinu za kipuuzi hazina nafasi kwenye karne hii kwa watu wetu.

This is definitely barbaric, uncouthed and presumptuous way of dealing with our people.
Pia walikuwa na wenge la hao wanyama wakali kwani na wao hapendi kuishi thubutu!! Mashine ilishake kidogo MUNGU ananguvu.
 
Mtoto mdogo, sema yawezekana alitukana sana mtu. Unajua hasira na madaraka haviendani. Unakua unaonekana mchanga tu.
Sema Martin bwana. Jamaa kajiweka kwenye story.🤣🤣🤣🤣 Sasa martin au bon ni wakupambana kuwapata kweli. Si wanadeal nao tu. 😂😂😂😂. Siasa. Gadamn.


ILA VIJANA HASWA TWITTER.
HESHIMA KITU CHA BURE.
UNAWEZA FANYA MOVEMENT ZAKO ILA UWE NA BUSARA.
TRUST ME. HATA UGOME KAMA UNA OBJECTIVE UNA TOA DUKUDUKU LAKO KWA UFASAHA NA HESHIMA. HATA ADUI YAKO LAZMA AKUUNGE MKONO AU AKULINDE. ILA UNAMCHOCHEA, NA MATUSI, NA KEJELI. 19-35 NDUGU VIJANA MTAKUFA SAAAAAAAAAANA.
Hata wewe mwisho wako ni kuoza na kunuka tu niamini mkuu!!
 
Tuliokuwa tunaona mbali tulikua tunasema anayofanya Jiwe kuteka teka watu madhara yake watu watakuja kujionea ni jambo la kawaida tu.
Sasa bibi Tukinao wa Kizimkazi anaona watu wake wanayoyafanya. Yeye anajifanyaga mama huruma, mboni hatumuoni kutoa tamko mgonjwa ahudumiwe kwa gharama zake?

Tukiwaambia tatizo kubwa la nchi hii ni CCM mnatuona mapoyoyo. Walaakini wanaopenda CCM ndio mapoyoyo.
Uhuru una mipaka, kuna watu wangapi wanakosoa mitandaoni , ila kufikia hatua kutukana matusi makubwa ambayo hata humu JamiiForums haiyakubali ni ujinga sio uhuru.
 
Tunamuombea apone, na akipona awache matusi.

Kuna watu ni heri uwapige kuliko kuwatukana, hususan mtandaoni.

Hili liwe fundisho kwa wengi, hata humu JF kuna watu wanadhani hawatojulikana wakitukana, nawaasa, hakuna asiyeweza kupatikana mradi kaweza kuingia kwenye mtandao. Hata uje na id feki vipi au utumie apn. Pegasus ikikutaka inakupata tu.
Pumbafu zenu wacheni kutisha watu kitoto kwani nani kawaambia watu wanataka kuishi milele!
 
Tunamuombea apone, na akipona awache matusi.

Kuna watu ni heri uwapige kuliko kuwatukana, hususan mtandaoni.

Hili liwe fundisho kwa wengi, hata humu JF kuna watu wanadhani hawatojulikana wakitukana, nawaasa, hakuna asiyeweza kupatikana mradi kaweza kuingia kwenye mtandao. Hata uje na id feki vipi au utumie apn. Pegasus ikikutaka inakupata tu.
kijana alikuwa na matusi mazito ya nguoni kutukania mpaka Mama za watu. Matusi mazito sio ukosoaji, wakosoaji mbona wengi tu kwanini iwe yeye
 
Naona maza mnamfanyia masaji kwa huu uhuni anaofanya kipindi cha JPM haya matukio mlimuita majina yote, huyu maza ni muuaji km wauaji wengine waliomshambulia lissu, hata km anatukana mtandaoni haimpi uhalali wa kutoa roho ya mtu, mange alimtukana matusi heavy ya huyu cha mtoto mmechemka kumpata mnahamishia hasira kwa kuhangaika na vidagaa, kama wao wanajiamini kwanini wasimpate mange na wale wanaompelekea taarifa nyeti za uchafu wa chura kiziwi?

Kwa vile yeye ni mwanamke nilitegemea kutosikia haya matukio lakini ni wazi wapo wengi walinyamazishwa milele kwa mbinu hizi, watu hawa na kwenye pori hilo kwa maagizo yake, alijifanya kuonyesha huruma kwa lissu mbona huyu kajitia upofu na kiziwi km alivyojiita, maza muhuni mnafiki mzandiki na muuaji kuzidi hata na wanaume shenzi kabisa
 
Back
Top Bottom