Alichosimulia Edgar Mwakabela "Sativa" kuhusu waliomteka na kumpiga Risasi ya Kichwa

Yan hata mm nimeshindwa kumuelewa kabisa, inaonyesha kabisa nchii hii inavijana wenye upeo mdogo sana
 
Dar to Arusha alafu akapelekwa sehemu kama mpakani mwa Tanzania na Kenya alafu akarudishwa Arusha mjini tena baada ya muda safari ya kwenda Katavi kwenye pori lenye wanyama wengi na wakali.
Najaribu kuunganisha dots.........
Ukishamaliza kuunganisha dots jipige risasi ya kichwa ukafie mbali, maana na wewe n mzigo kwa taifa hili..

Jambo lisipokukuta huwez kujua maumivu
 
Jamani elimu bure, mtumie hii fulsa kurudi shule kupata elimu hata ya memkwa…
Cz it seems like kichwani kunakinyesi tuu… Maana huwez Ieta maswala y gwantanamo ili hali kule sio Tanzania..
We need specific link
 
Jamani elimu bure, mtumie hii fulsa kurudi shule kupata elimu hata ya memkwa…
Cz it seems like kichwani kunakinyesi tuu… Maana huwez Ieta maswala y gwantanamo ili hali kule sio Tanzania..
We need specific link
Shithole
 
Hv Hiyo miujiza hua ipo kwa watu wa Chadema tuu au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…