Alichozungumza Rais Samia Kwenye Jukwaa la Uchumi, Davos nchini Uswisi

Alichozungumza Rais Samia Kwenye Jukwaa la Uchumi, Davos nchini Uswisi

kalacha mateo

Senior Member
Joined
Sep 27, 2021
Posts
119
Reaction score
240
Rais Samia Suluhu amehimiza sekta binafsi kuwekeza Afrika katika uzalishaji wa nishati jadidifu ili kuhakikisha upatikanaji wa uhakika wa nishati hiyo. Ametoa wito huo akichangia mada katika mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uchumi Duniani unaofanyika Davos, nchini Uswisi.
 
Kama tunavyofanya hapa Nyumbani......

Ohh Sorry tupo Gizani na tunaangaika na mafuta ya kununua kutoka ugaibuni wakati tuna Gesi Asilia na CNG (Compressed Natural Gas) ni well known wala haiitaji kuwa a Rocket Scientist....
 
Rais Samia Suluhu amehimiza sekta binafsi kuwekeza Afrika katika uzalishaji wa nishati jadidifu ili kuhakikisha upatikanaji wa uhakika wa nishati hiyo. Ametoa wito huo akichangia mada katika mkutano wa mwaka wa Jukwaa la Uchumi Duniani unaofanyika Davos, nchini Uswisi.
View attachment 2487736

Katoa majibu ya kawaida sana kwa swali gumu
How did she become so clever so quickly?
 
Ingekuwa maendeleo yanakuja kwa kuzungumza na kuhudhuria sana makongamano Tanzania ingeingia uchumi wa kati na wa kwanza enzi ya Kikwete.

Mlikuwa mkimsema magu kuwa hataki kutoka sababu hajui English.
Huyu anatoka nae mnaanza maneno.
So hatujui mnasimamia nini!
 
The current global energy crisis is practically man-made due to the Ukraine war that has brought in sanctions affecting global energy distribution, particularly fuel and natural gas. So, with the man made crisis in Ukraine and resultant energy protectionism by global super-powers as mentioned by the president trying to gain more share of the global energy supply will dearly affect the poor countries.

As regard to the effect of climate change, global super-powers should stick to their commitment to cut down carbon emissions and also to fund renewable energy projects in developing countries.​
 
Back
Top Bottom