Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
- Thread starter
- #21
Haaahaaa🤣🤣😂😂Yale mashairi hata leo unang'oa mrembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaahaaa🤣🤣😂😂Yale mashairi hata leo unang'oa mrembo
Sawaa tutaweka linkMwenye huo wimbo aweke hapa.sie wengine ni juzi tu tumeanza kushabikia mziki
Juzi kati nilikua nasikiliza nyimbo za DAZ NUNDAZNdomana miziki yao inaishi hadi leo
Ova
Jamaa alikimbiza Kwa kipindi chake hope hata ALIKIBA ALIKOPI JINA FROM ALICOMJamaa namuelewa Sana.
Miziki inaishi hadi leo ,isikilize maji ya shingoJuzi kati nilikua nasikiliza nyimbo za DAZ NUNDAZ
jamaa walikua wapo vzr aiseee
Yaan Kuna nyimbo mpk Leo Zina ishi yaan kama zimeimbwa Leo....Wasanii wa zamani wa Bongo fleva walikuwa wanajitahidi sana kwenye kutengeneza mashairi yenye ujumbe wa kueleweka kwenye jamii ya wakati huo.
Siyo hawa wa sasa wanaowekeza nguvu zao nyingi kutunga nyimbo zenye kuhamasisha unywaji wa pombe, ushoga, na ngono zembe.
Miaka Ile wimbo wao ulibamba sana😊😊
Alicom na Celina_wapambe
Katika pita pita nimesikia uki pigwa
Enzi izo ulikua moto Africa mashariki na kati🌍🌍
Jamaa sijui yupo wap Kwa Sasa...
"Wapambe tusi wakubali.....// Selina wangu we kimwana...// Unizalie na wanaa...
Wewe ulikua wap enzi izo..😊😊🤓🤓
Bonge la beat good music 🎵🎵🎶🎶 Mwl.RCT
Mume wa Mishi alipoiona hiyo video alikasirika sana akampiga marufuku kushiriki video nyingine na kumuhamishia Arabunikwenye video jamaa alimpapasa bidada,
mpaka nikamuonea donge kwa kweli
wengi huwa wanaweka vixen ashikwe shikwe weehMume wa Mishi alipoiona hiyo video alikasirika sana akampiga marufuku kushiriki video nyingine na kumuhamishia Arabuni
Ndo dunia ya sasa iko ktk peak ya ushoga, ulevi na ngono za kimaskhara. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wasanii wa zamani wa Bongo fleva walikuwa wanajitahidi sana kwenye kutengeneza mashairi yenye ujumbe wa kueleweka kwenye jamii ya wakati huo.
Siyo hawa wa sasa wanaowekeza nguvu zao nyingi kutunga nyimbo zenye kuhamasisha unywaji wa pombe, ushoga, na ngono zembe.
Mbna mbaba mzuri sanaa.