Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anajua kuendesha gari asemavyo😂 Awe mrefu, mweusi, kifua kipana alafu anaendesha benz
Katoma zake wafuga kucha haoUnakuta mtu anae sema hivyo hata hajui kuandika GIRL anaandika gelo😂
Ukiwaona kama watuWanakaza sana alafu wakishafika 28+ ndio wanaanza kutusumbua kuwa wanaume wa kuoa hawapo,tatizo wameshakuwa vibibi😭😭😂😂😂
View attachment 3227849
Kazi yenu hapa ni kutaka kujua kila mtu anafanya shughuli gani.Toka kwa shemeji yako , tafuta mchongo
Sasa kama wewe mwenyewe ndio mod kwanini nisipigwe tofali😂😂, eti totoz ya hamas, kama una hasira tena piga ya mwaka 😁😁😁😁Jombi kumbe ushatoka kifungoni ? inabidi upewe tuzo ya bans maana unalambwa sana , na nawapongeza mods kwa kazi nzuri .......
Hahah walinipiga kibao cha siku 3 hivi mkuu 😂😂😂
Moyoni hawana utu, Kumbe ni waongo!Lady jaydee,salamu kwake.Ukiwaona kama watu
Acha weeee😂😆😆😆😆 una habari kwamba bwana makutupora amepata cheo kwenye chama cha majobless!
Eeee ni semaji la majobless (duniani)Acha weeee😂