adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Sijaanza mapambano na wewe na sitaki maana naona haina maana sababu wewe ni mtu ambaye hauna busara na adabu kabisa humu jukwaani kwa kushusha matusi makubwa hovyo ndio maana nakuepuka maana siwezi Kubattle na mtu wa matusi ni kupoteza muda na kujishushia heshima.Sasa kama wewe mwenyewe ndio mod kwanini nisipigwe tofaliππ, eti totoz ya hamas, kama una hasira tena piga ya mwaka ππππ
Mimi vita yangu ilikuwa dhidi ya Maghayo na genge lake ( Ghayos Gang ) sasa Maghayo tushampoteza hauto muona tena jukwaani akileta uchizi humu , kijana wake the stress Challengerr kama permanent bana sasa imebaki ID ya The Mongolian Savage ambaye sasa anaishi kama digidigi kw atahadhari kubwa maana "GunMan " nipo kazini na ukiacha kumchongea na kumuingiza katika 18 za ban mpaka zikafwekwa ID zote kwa wakati mmoja , ameshaexperience Umafia wangu like Vincenzo Cassano mpaka akawa analialia .