Aliemnanga huyu bi. Harusi kwa kweli mungu anamuona!

Hahaaa.eti unaweza kuota. Lol
 
Hahaaaa. Ila saa nyingine najiuliza inamaana huyo mpambwaji anakuwa hajioni au hakuwi na kioo sababu sidhani kama haruhusiwi kushauri , sababu kama vinachekesha ujue.

Kuhusu tu like inabidi tugawane tulike twangu ili na zako zijae kidogo. Hahaaaa.
 
Wacha wapambane na makeup zao
 
Dunia imekwisha, hapo sasa unaweza kwenda nae nyumbani akinawa uso tu utakutana na makovu kibao.
Simpigi shoo mkuu namtoroka kama
Nimpanga kukutanae mie natoka.
Nduki mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…