Aliewahi kuugua matatizo ya akili anamjua Mungu na siri zake zote, amini mfano hai huu

Aliewahi kuugua matatizo ya akili anamjua Mungu na siri zake zote, amini mfano hai huu

NDO MANA NIMEANDIKA HUMU KAMA NINGEKUWA NA ALAKINI NINGEENDA BARARANI KUTANGAZA HUONI KUWA NI MAELEZO SMART,NA UJUE TU KUWA USA NDO TAIFA LINAONGOZA KWA MATATIZO YA AKILI MEANS God is with them

Una msongo wa mawazo mkuu.Muda kuoa umefika sasa
 
hata wewe nahisi una matatizo ya akili i bet God is with you hahaaa.
 
NDO MANA NIMEANDIKA HUMU KAMA NINGEKUWA NA ALAKINI NINGEENDA BARARANI KUTANGAZA HUONI KUWA NI MAELEZO SMART,NA UJUE TU KUWA USA NDO TAIFA LINAONGOZA KWA MATATIZO YA AKILI MEANS God is with them

SIO BURE! Wewe pia ni chizi.. ila siamini kama unayosema unayatoa kwa huyo unae mdhania
 
Bangi husababisha mtu kusikia sauti za watu wasionekana zikimlazimisha kua au kupiga watu
 
Kitendo cha ili jukwaa kuitwa intelligensia basi imekuwa tabu tupu....watu wanakuja kuelezea hadi njozi zao

Nmeishia mstari wa 3 kiukweli tujitahidi kuandka point sio lazima kuoneka imeandka kama huna la msingi nyamaza kama Mimi......n ujinga na pumba
 
Nmeishia mstari wa 3 kiukweli tujitahidi kuandka point sio lazima kuoneka imeandka kama huna la msingi nyamaza kama Mimi......n ujinga na pumba

Wanaandika tu vinavyowajia kichwani
 
Ivi hawa maagent ya wa zile sociaty za kishetani mbona hamuelewi? Humu mitandaoni sio sehemu yenu ya kueneza propaganda zenu mlizotumwa kudanganya watu.Ulichaa na Mungu wa kweli wapi na wapi? Mbona unataka kudanganya watu. Unavyosema mungu najuabu unamaanisha Miungu yako ya kishenzi ndo huwa inakudirect ufanye ayo mambo.kwanza unavyosema malekani wana mungu nazani unyamaze kabisa maana mungu unayemtangaza apo ni mungu wa mapepo anayewafanya watu wawe machizi.si unajua kwa mfano mtu mwenye mapepo huwa anasikia yale mapepo ndani yake yakimdirect kufanya vitu au kuua.hata uko marwkani unaposema wanamungu maaana yake mapepo yapo mengi kule ndo maana wanamambo ya kishenzi mengi sana.Ivyo usitudanganye na marlezo yako ya kutaka kuwaaminisha watu kuwa ukichaa huwa wanaongea na mungu.huwa wanaongea na Mapepo.
 
Ivi hawa maagent ya wa zile sociaty za kishetani mbona hamuelewi? Humu mitandaoni sio sehemu yenu ya kueneza propaganda zenu mlizotumwa kudanganya watu.Ulichaa na Mungu wa kweli wapi na wapi? Mbona unataka kudanganya watu. Unavyosema mungu najuabu unamaanisha Miungu yako ya kishenzi ndo huwa inakudirect ufanye ayo mambo.kwanza unavyosema malekani wana mungu nazani unyamaze kabisa maana mungu unayemtangaza apo ni mungu wa mapepo anayewafanya watu wawe machizi.si unajua kwa mfano mtu mwenye mapepo huwa anasikia yale mapepo ndani yake yakimdirect kufanya vitu au kuua.hata uko marwkani unaposema wanamungu maaana yake mapepo yapo mengi kule ndo maana wanamambo ya kishenzi mengi sana.Ivyo usitudanganye na marlezo yako ya kutaka kuwaaminisha watu kuwa ukichaa huwa wanaongea na mungu.huwa wanaongea na Mapepo.

Basi usitokwe na povu maana hata wewe huna uhakika na huyo mungu wako, wala huwezi kumdhibitisha.
 
TATIZO LAKE amefanya tafsiri ya moja kwa moja hii taarifa.
Dah sijui mm ndio kilaza au not great thinker,yan cjaelewa kabisa hasa icho kipengele unachosema mtu anachekeshwa na Mungu.Ngoja nisubire comments za wadau labda zitanifungua macho
 
Duh, something is wrong somewhere....
 
Hahaha daa yeye sijui anauzoefu gani sasa
 
Sidhani kama hii mada ipo sahihi.

Hali ya kupata maono sio ukichaa wala haina uhusiano na hali ya kupoteza muunganiko wa akili na mwili. Bali kwa kuunganisha akili yake, mwili wake na roho yake mwanadamu anaweza kupata ufunuo.


Lakini mada hii imefundisha kitu kimoja cha msingi sana. Ufunuo unakuja kwa njia mbalimbali.

Mtafute Eckhart Tolle, usome habari yake jinsi alivyoweza kupata spiritual realization alipokuwa anataka kujiua.
 
Nilipata kukaa na chizi mmoja nikipiga naye stori,nilitaka kujua namna wanavyofikiri na kama tu naweza kuwasiliana walau kwa kiwango flani cha kuelewana.Aisee,siku hiyo nilipata shida,nilikuwa na kibarua cha kumsikiliza tu,kila nilipojaribu kumwingelesha alikuwa anajibu vingine,anatamka maneno ambayo kwenye kiswahili hayapo,Kwenye kiingereza hayapo,muunganiko wa mawazo yake ndo hatari tupu.Utakuta anasimulia hiki,ndani ya sentence hiyo hiyo moja anakuja story nyingine tofauti kabisa,basi alinivuruga vuruga akili kiasi kwamba na mimi akili yangu ikaanza kuchoka sasa,kichwa kinauma na kizungu zungu juu.Mbona nilimkimbia,alinichosha akili ni hatari.

Hii topic inafuatia kwa kunivuruga akili baada ya yule chizi,walahi nimeishia aya ya pili tu,maana nahisi ingenivuruga zaidi akili.
 
Back
Top Bottom