Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu mimi mwenyewe nimesoma aya ya kwanza na ya pili nikaona chenga tu...!
Hauko peke yako hata mimi sijaelewa.
NDO MANA NIMEANDIKA HUMU KAMA NINGEKUWA NA ALAKINI NINGEENDA BARARANI KUTANGAZA HUONI KUWA NI MAELEZO SMART,NA UJUE TU KUWA USA NDO TAIFA LINAONGOZA KWA MATATIZO YA AKILI MEANS God is with them
una msongo wa mawazo mkuu.muda kuoa umefika sasa
hahahah ukimjua mchawi.... We umenijuaje humu hahahah
NDO MANA NIMEANDIKA HUMU KAMA NINGEKUWA NA ALAKINI NINGEENDA BARARANI KUTANGAZA HUONI KUWA NI MAELEZO SMART,NA UJUE TU KUWA USA NDO TAIFA LINAONGOZA KWA MATATIZO YA AKILI MEANS God is with them
Kitendo cha ili jukwaa kuitwa intelligensia basi imekuwa tabu tupu....watu wanakuja kuelezea hadi njozi zao
Nmeishia mstari wa 3 kiukweli tujitahidi kuandka point sio lazima kuoneka imeandka kama huna la msingi nyamaza kama Mimi......n ujinga na pumba
Ivi hawa maagent ya wa zile sociaty za kishetani mbona hamuelewi? Humu mitandaoni sio sehemu yenu ya kueneza propaganda zenu mlizotumwa kudanganya watu.Ulichaa na Mungu wa kweli wapi na wapi? Mbona unataka kudanganya watu. Unavyosema mungu najuabu unamaanisha Miungu yako ya kishenzi ndo huwa inakudirect ufanye ayo mambo.kwanza unavyosema malekani wana mungu nazani unyamaze kabisa maana mungu unayemtangaza apo ni mungu wa mapepo anayewafanya watu wawe machizi.si unajua kwa mfano mtu mwenye mapepo huwa anasikia yale mapepo ndani yake yakimdirect kufanya vitu au kuua.hata uko marwkani unaposema wanamungu maaana yake mapepo yapo mengi kule ndo maana wanamambo ya kishenzi mengi sana.Ivyo usitudanganye na marlezo yako ya kutaka kuwaaminisha watu kuwa ukichaa huwa wanaongea na mungu.huwa wanaongea na Mapepo.
Kuna jamaa humu anajiita taira la mirembe aje atupe uzoefu kidogo
Dah sijui mm ndio kilaza au not great thinker,yan cjaelewa kabisa hasa icho kipengele unachosema mtu anachekeshwa na Mungu.Ngoja nisubire comments za wadau labda zitanifungua macho