Wanaokamata huwa hawaangalii au kuamini kunakuwa na sababu iliomfanya jamaa akampiga...Kakupiga bila sababu una hakika..?
Hebu tuma picha yako kwanza tuone ni bila sababu au ipo sababu sema wachache ndo wanaweza ijua!. Tuma picha tuone.
Asubuhi tu........Nachojua hata akitoka lockup na akaamua kukuacha afanye mishe zake bado utamfata kumuomba msamaha
Kwan wanawake hatuwajui?
Ulimkosea nini! Huwezi pigwa bila sababuAlijifanya kidume,anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Roho mbaya iyo!Alijifanya kidume,anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Hakuna mwanamke wa kuolewa hapa litakuwa buzi lakeMumeo au mpenzi wako mkuu
Utanyimwa dyu.dyuAlijifanya kidume, anajua kupigana. Kanipiga kofi na teke la mbavu bila sababu za msingi, nikasema hunijui wewe kama na mapenzi yaishe tu. Nikaenda kumchukulia RB, polisi wamemkamata wamemlaza lock up.
Sasa hivi eti ndio akili zinamkaa sawa anajifanya kunitumia wajumbe wamuombee msamaha.
Siku dada yako akifa kwakipigo uje uncomment tenaHakuna mwanamke wa kuolewa hapa litakuwa buzi lake
Yeye ni mwanamke pia so hakuna ExceptionalSiku dada yako akifa kwakipigo uje uncomment tena
Umenichekesha sana mkuu..Teka la mbavu..ila jamaa nae aliwaza nini kunyanyua kabisaa mguu mbele ya mwanamke??Nadhani kachanganyikiwa, teke la mbavu si masihara