Majirani zetu wapo bize wanaomba picha za wima[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] wanasahau kuhudhuria showSio kwamba promota alizingua bali management ya Kiba iliona aibu kumpandisha msanii wao wakati watu hakunaa!!
Ni kwamba show ilikosa watu kabisaa,ikabidi Ally azugezuge mpaka saa nane ndio akapanda na kukuta watu wamepungua zaidiii ya mwanzo,akasema show haipo mpaka tarehe 28,wacha watu wamrushie makopo ya bia!!
Unaambiwa karushiwa chupa haswa jana mpaka akaondoka jukwaani..picha nitawaletea
Show ilikuwa na kiingilia kikubwa then hawakuitangaza na sehemu yenyewe haikuwa na hadhi hiyo ndo maana mrejesho idadi ya watu ikawa ndogo tena ukizingatia ni mkoaniNdo mana sikuskia muziki jaaaana,kumbe alichelewa,hadi nikajiuliza lile gari la matangazo lilidanganya au? kumbe alichelewa,Duh!!!
Hahahah afu waseme eti wanafanyiwa fitnaJana Ally Kiba alikua na show dodoma kiingilio ilikua elfu 25000, cha kushangaza mashabiki wa kiba kazi yao ni kumponda diamond...mara waiponde WCB beach party...mara show ya Iringa itabuma. ...Ivi nyie kwanini msiwe busy na kupromote vya msanii wenu ili aweze kufanya vizuri kama mond??matokeo show inabuma...watu hakuna utafikiri show ya isha mashauzi!! Mliulizia sana picha za wasafi beach party....haya tunaomba picha za jana dodoma....!!
Siyo kesi umenogesha @UpendoNaVodacomNi kweli mkuu hiyo pic ni kutoka maktaba tu
Hahaaa sio mtu mzuri weweTatizo Diamond anamfanyia sana Kiba figisu. Ukifuatilia utagundua WCB walituma watu Dodoma kwenda kuharibu show. Lakini King akaushtukia mchezo akakataa kuperform
Jana hakukua na show dodoma acha umbea wa kitoto
Kuropoka ndo ajira yetu na ambavyo ajira za walimu wa arts zimefungwa naona topc y threats of the world peace ina Fany kaziii,,,,umeona wap kweny account y kiba kapost show Dodoma ?????
acheni ubishi n video imewekwa kwny a.c ya bossngassadodoma instaAcheni uwongo Alli hakua na shoo jana me nipo dodoma apa jana kulikua na shoo ya Mc pilipili tu pale royal village na trh 24 alikua darasa dodoma royal village..
Nenda kwenye page ya udaku insta wameweka video yakeIwe habari sahihi au si sahihi,lakini wewe unaonaje "kwa hadhi" mnayompa ya "king" ku perfom kwenye ukumbi unaochukua watu 100 iko sawa hiyo ???
Teh teh tehee eti anamroga [emoji23] [emoji23]Diamond anamloga Kiba