mensaah
JF-Expert Member
- Sep 12, 2016
- 927
- 1,311
Yaani show ya alikiba 25,000/=?, pili kwa nn alienda hadi Dodoma kama alikuwa hajalipwa hela yake yote tatu idadi ya mashabiki ukumbin si kazi ya msanii kujua ni wangapi wameingia cha muhimu mshiko mlikubaliana na promoter umelipwa bac piga show. Hii inadhihirisha Ally kiba plus management yako hawako serious wakati huohuo anataka afananishwe na diamond. Kwa mtindo huo inaleta sense kwel