Uncle Elroy
JF-Expert Member
- May 22, 2016
- 1,177
- 1,090
Bado pamechakaa tu, ukame nk
Wanasema ndo soko linalolisha East Africa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado pamechakaa tu, ukame nk
Linafikia Kibaigwa?Wanasema ndo soko linalolisha East Africa.
Linafikia Kibaigwa?
Kibaigwa ni soko kubwa sana la mahindiHilo sijawahi kufika.
Wapiga debe walikuwa wanaita... kwa sadala, boma, Sanya 😂😂😂... umenikumbusha mbali sana kipindi hicho nasoma moshi tech pale tulikuwa tunapanda vidaladala vya kwenda huko tunashuka Karanga tunaingia skongaAisee yaani hili jina kila nikiliskia eti ndo la Diamond Platnumz, huwa naishia kucheka kimoyomoyo. Kule kwetu Kilimajaro kuna eneo moja linaitwa 'Kwa Sadala' karibu na bomangombe. Sasa kitendo cha Ali Kiba kumbatiza mwenzake Sadala, halafu nikikumbuka hayo maeneo ya 'Kwa Sadala' yalivo yalivo mbavu zinanipasuka kwa kicheko. Yaani Sadala inakuwa kama mtu mshamba mshamba maana eneo lenyewe kuna kama udongo mwekundu balaa
Aisee Ali Kiba we sio mtu mzuri aisee... nakuambia hivi... Mbingu utaisikia.. eti 'SADALA' 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaaa pale pale kuna bonge la slopeJamani kwa sadala kumbe ndio pale hapaeleweki eleweki kuna mdaraja na mtelemko mrefuuuuuuuuu
Na watu wamelikomalia balaa [emoji23][emoji23][emoji23]Hili jina linachekesha sana. Et Sadala. [emoji16][emoji23][emoji1787]
Hatari sana.. hili jina naona liki trend kwa kipindi kirefu sanaKwa sadala, boma, Sanya 😂😂.. umenikumbusha mbali sana kipindi hicho nasoma moshi tech pale tulikuwa tunapanda vidaladala vya kwenda huko tunashuka Karanga tunaingia skonga
Wapiga debe walikuwa wanaita... kwa sadala, boma, Sanya 😂😂😂... umenikumbusha mbali sana kipindi hicho nasoma moshi tech pale tulikuwa tunapanda vidaladala vya kwenda huko tunashuka Karanga tunaingia skonga
Hili bifu haliwezi poa aisee.. wataliamsha kila sikuWapinzani hao...
Yaah kabisa hayo maeneo kuna wapiga ndole sanaNa kulikuwa kuna wezi balaa hapo Kwa Sadala
Kwa hiyo mkuu.. umeshamvotia Burnaboy??Ukimgusa kiba uwe tayari kumsikia Robidinyo
Kumekaa vibaya sana.. wanatakiwa kuamkaKwa Sadala, Bomang'ombe hadi kia panatisha sana
Watanzania kwa kusaga kunguni ndo wenyeweHahahahah acha tumsagie kunguni na kumkaangia Simi[emoji1][emoji1][emoji445]
DiniDaah watu wa pale sijui wamefungwa.. sijawahi kuielewa ile sehemu
Zamani sanaKwa hiyo mkuu.. umeshamvotia Burnaboy??
Wengi pale waislamu.. kuna kitu gani wanafanya tofauti?Dini
Hahaha.. mwenyekiti wa wasaga kunguniZamani sana