AliKiba amdiss Diamond Platnumz kuhusu utajiri na Forbes: Wadau wasema Sadala ni kiki ya album yake mpya

Ila kwake ...maana ana ake ni Muuza Unga mkubwa...Sadala ni mtu huko Pakstan (sijui kama bado yupo hai) kwenye miaka ya 90 mpaka 2020! Alikuwa ndo mtu No 1. anaewauzia Watanzania wanaenda beba dawa za kulevya na kuja nazo Tz au kupeleke kwengineko Duniani....Siku hizo ukisikia jamaa ameenda kwa Sadala maanake ameenda Pakistan kubeba madawa ya kulevya
 
dini yetu kiislamu inakataza kumwita mtu jina la utani au si lake ni dhambi kubwa
 
Sadala alifume[emoji91] kinoma kutowekwa kwenye list ya wasanii matajiri afrika. TEAM-KIBA eti wakamuambia we nenda kauze karanga huko!!! Hatujawahi kumsikia Davido au Wizkid akiuza karanga!!!
Hivi hawa watu wanaomsema vibaya Mond,wanaelewa kwanini wanafsnya hivyo kwa chuki?
Kwanini hawamsemi Juma nature,Marioo,Au baraka da prince!?
Sababu moja tu,mti wenye matunda.......?Diamond ana kitu,na hicho kitu(mkwanja),unawatisha watu vibaya,kushoto kulia,mtoto wa Tandale akapiga pesa,watu wanashangaa,
Wahenga walisema"people hate what they can't conquer,fear what they don't understand"
Mond anamiriki Media house,ametoa ajira kibao,Harmonize,Rich movoko wote wamekuzwa na wasafi,Kiba amemkuza nani?ajira ngapi katoa.
 
Sadala ni jina la watu. Linapatikana zaidi Dodoma
 
Sadala maana yake ni mteremko. Yani kiufupi mtu akisema "unapenda sadala" ni sawa na anasema unapenda dezo/mteremko/kitonga.
 
Diamomd mvumilivu cjawahi onaaa ila km n mwngne lazm upanick.
 

Shida ya watu wa tandale mnaimani mkipata hela ndio mmemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…