Hakuna jambo linalonikwaza Kama watu kusema Ali anapenda kulalamika,hana uwezo, ,, kwani hamuoni utata uliopo?? Kila aliyeshinda aliwekewa pink mark,,
Mshindi hawekewi pink bali
ANATANGAZWA!!!! Ali Kiba hakutangazwa popote kwamba ni mshindi!
mtvbaseafrica (siyo mtvema)wakampost wizkid!
Hoja nyingine ya Team Kiba... mnadhani ni MTV EMA ndio walikuwa wanapaswa kutangaza mshindi wakati regional winners wanatangazwa na regional MTV Channels na sio MTV EMA kama mnavyodhani!
Mshindi waDenmark huyu hapa... hakutangazwa na MTV EMA bali na MTV Denmark na wao MTV EMA waka-RT announcment:
MTV ESpan hawa hapa na ndio alimtangaza mshindi wa Spain na wao MTV EMA wali-RT tu!
Ni MTV Netherlands ndio walimtangaza Mshindi wa Netherlands na MTV EMA wao wali-retweet tu matokeo yaliyotangazwa na MTV Netherlands!
Na washindi karibu wote, ndivyo ilivyokuwa! Kwahiyo hoja yenu kwamba MTV Base walim-post WizKid badala ya MTV EMA ni hoja isiyo na nguvu!
Hapa fans WA alikiba wakaanza kulalamika, mtvema walipoona malalamiko yamezidi na fans wana ushahidi walichofanya(mtvema) ni kuhamisha ile pink mark ya ushindi na kuipeleka kwa wizzie,,, hapo ndipo fans wakazidisha complains, haikuchukua muda mtvema haohao wakaondoa ile pink mark kwa wizzie, hivyo kwenye hii category ya bestafrican act haioneshi mshindi ni Nani mpaka sasa!!
Yale yale... haioneshi mshindi ni nani wakati mshindi alishatangazwa! Na katika Stanadard Voting Rules za MTV EMA hakuna popote waliposema mshindi atawekewa alama kuonesha ushindi bali kura zitakuwa tabulated na mshindi KUTANGAZWA! Hakuna popote ambapo Kiba alitangazwa!
Swali langu ni je??? Mtvema wanaweza fika mpaka stage ya kumueka alikiba kwenye website yao Kama mshindi KABLA hao mnaowaita majaji na wadhamini hawajaverify ushindi wake!??? Nyie mnachukulia hili swala kiushabiki lakini mnaacha kuangalia utata uliopo.
Hawakuweka popote kwamba mshindi bali walionesha wanaoongoza! Baada ya zoezi la upigaji kura kwisha, ndipo kura zinakuwa tabulated na wao MTV EMA
wanatangaza mshindi!! Mshindi anatangazwa! Na endapo wanaona anything suspicious, wana mamlaka ya kupiga chini zoezi la kura na
kutangaza mshindi kama wanavyoona wao!
If,
for any reason, this voting process is interrupted for any reason, is found to have been tampered with in any way, or for any other reason that MTV EMA believes in its sole discretion to be reasonably necessary,
MTV EMA reserves the right to select the winners at its discretion....!
Mssiwe mnakurupuka wakati hamjui taratibu! Hata Kiba alisema kwamba wanafuatilia kufahamu vigezo hii ni kituko kwavile kila kitu kilikuwa wazi from day one! Na MTV EMA waliweka wazi from Day One kwamba:
"By participating in this voting process, you agree to be bound by these How Voting Works For The 2016 MTV EMA rules. Failure to comply with these rules may result in a voter's disqualification solely at the discretion of Sponsor. Sponsor reserves the right to modify these How Voting Works For The 2016 MTV EMA rules at any time in its sole discretion."