Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
http://millardayo.com/alimtv/Mtv ema wameeliza vizuri lakini mashabiki wa Tanzania hasa wa alikiba sijui kitu gani hapa hamjaelewa au tatizo lugha
View attachment 430843
Hivi hata kwa akili ya kawaida tu ya kuvukia barabara unaweza kweli kumlinganisha alikiba na wizkid?.lets be realistic jamani.
Huna point kaa kimya kwani kingereza ni lugha yetu ulimbukeni unawasumbuaHuwa kila cku kabla ya kulala naangalia video ya ally akiongea kizungu nabak nacheka sana
Yaani hapo tu kuhusu diamond nimekuelewa sa hiv too much copying mm diamond wa mbagara na nitarejeando hapo unakuta sometyme wapumbavu wanamfananisha wizzy au tekno na diamond,yes diamond ni mkali kiaina yake ,lakini kwa hizo no hagusi.
mbaya zaidi ni kwamba lyrics,tune,appearance zake kwenye video ni copy and paste toka kwa wapopo.
kuna diamond yuleeee wa
kizai zai
nataka kulewa, hatutamsahau
Diamond anafanyaga figisu yule kwa nyimbo gani kwa mfanona hapo tayari ishajulikana tatizo liko wapi,kuna watu walikua wanapigiwa kura nyiiingi sana wanachukua tuzo.hii juzi imetokea pia diamond kala tuzo 3 za wanaijeria lakini zikatolewa USA,kisha akalambishwa nyingine 3 hapoo karibuni naigeria na wapopo hao hao.jumla 6 bwana matuzo kwa nyimbo gani.
Alikiba kalilia katuzo hako kmoja tu maskini kwani ameona ni haki yake kanyimwa na ukweli umejulikana,kiba hashindani na mtu,ye nyimbo zake ni hizo na sauti unique anayo
Acheni roho mbaya , ndo ashakuwa bora sasa kajinyee mxiuuu[emoji57] [emoji57] [emoji57]Hata huo Mwaka mmoja ni ubora upi alionao Alikiba? Acheni kulazimisha vitu.
Tena bila collabo wala nn wengine wanapata tuzo kwa collabo na winigeria[emoji13] [emoji13] [emoji13]haya tuzo ni yake bila collabo wala nini, una lingine la kukashifu
Sasa mbona hamkupiga kura???my gbedu is final, wizzy baby baba nla won My girl wear designer, everytin wey I give am final eh r eh I no like wahala, oh wizzybaby baba nla won Say my gbedu is final, wen me drops everybody no dey tire eh e eh
mimi hapo nimeimba mistari niipendayo kwa wiz...Sasa mbona hamkupiga kura???
Watu wamepiga kura kwa kiherehere, matokeo yake ndio haya.
Tena mwabie aaaje.mimi hapo nimeimba mistari niipendayo kwa wiz...
wizbaby baba nla
Laana ikushukie mpaka kizazi chako cha nne, shame on you haterAngelalamika Mtu tofauti na ALLY KIBA au tofauti na TEAM KIBA ningeshangaaa!! Kwa kua ni hao hata sishangai ni kawaida yao!!!! Lini MT VEMA walipost kuwa Kiba anaongoza kwa kuraa?
Hata watanzania wote million 45 tungepiga kura kwa kura za wanigeria tusingefikia!!! Tuache kukurupuka na Post za kutengenezwaaaaa!!! Labda mlete ushahidi ambao unaonesha walipost kiba anaongoza
Ujue Diamond atabaki kuwa wakimataifa kutokana hata anaVo jibehave! Niwakumbushe mashabiki wa ALI KIBA! Diamond aliwahi wekwa katika kipengele fulani cha kupigiwa kuraa,watanzania walimpigia kura Diamond hadi upigaji kura ulisitishwa kwa muda kutokana na wingi wa kura na wao wakasema wanashindwa kuhesabu lakini mambo yalivyo kaa sawa hicho kipengele Diamond HAKUSHINDA! Tuzo akachukua mwingine lakini Diamond hakulalamika hata Robo kikubwa aliwataka mashabiki watulie na wafurahie kuwa nominated tuu ni ushindi tosha Mungu si adhumani mwaka unao fuata aKachukua tuzo!!!
Mjifunze kukubalii Kiba ni nani? Who is kiba in Afrika? Wizkid kafanya Show ngapi na za ukubwa gani?, alikuwa anaperfom vipii watu wanamuitikio kiasi gani?
Acheni ujingaaa.....Nje ya Tanzania Kiba show ya pekee ake Kafanya ngapi? Watu walikuwaje na wapi??? Semeni au hata Tanzania semeni kiba Kafanya show Ngapi hapa Tz? Mnalalamika bila Facts msanii wenu kutwa yupo K/koo halafu mnataka mchukue tuzo za mtumbuizaji bora mnadhani hizo ni KILL AWARDS?
Wizkid kafanya show kazunguka Africa.....kumbukeni Diamond aliwahi kuchukua hiyo tuzo kwa wingi wa show alioufanya mbele ya wizkid hadi show zaa kwenye CCM zilikuwa zinaangaliwa,nigeria alifanya maara kibao!!
Kumbukeni mashabiki wa kiba kuwa nominated sio unajua sanaaa au unastahili sometime unawekwa ili kunogesha tuu tunzo hizo!!!!
Shame on You kiba Fans!