kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Ndo nachoomba hata mm, asitie neno lolote liwe zuri au baya akae kimya. Hizo ni mbinu za kumtia nyongo alopoke maana naye hanaga kifua.Hapa Diamond asijibu chochote maana mpk muda huu kiki yao imefeli haina trend yoyote so chibu akijifanya kujibu atawapa promo ya bure tu.
Hizo ni trick za kumtia nyongo domo alopoke maana hanaga kifua yule choko. Ananikeraga hapo tu.Hapo ndio anapoharibu
Jembe bila kuchomekwa mpini haliwezi kulimaHivi Alikiba hawezi kung'aa ama kuonekana yeye kama yeye pasipo kutajwa Diamond?
Sijamlisha maneno bali nimeandika kilichsemwa na kupostiwa na official Twitter page ya clouds media, rejea kwenye attachment ya huwo uzi.!
!
Msimlishe Maneno.
Ndo ujiulize mwenyewe hilo swali.Hivi Alikiba hawezi kung'aa ama kuonekana yeye kama yeye pasipo kutajwa Diamond?
Yeah ndo kitu cha msingi. Asitie kabisa neno lolote hata kuachia wimbo wowote kutoka kwenye lebel yake. Hapo ndo ataonyesha ukomavu kwenye sanaa.Ogopa sana mtu anayekuonyesha upendo kwa ajili ya kumkomoa mtu fulani. Hata mm nitafurahi kama Diamond akiwa kimya, huu ni upepo utapita hautachukua hata wiki.
Siyo ushamba bali trick za kibiashara ya mziki.Mbna alikiba amezidi ushamba
Ikiwa leo ni siku maalumu kwa ajili ya mahojiano ya kiba pale mawingu (clouds) media, wenyewe wanakwambia ALIKIBA DAY. Baadhi ya maswali aliyoulizwa ni jinsi alivosalimiana na hasimu wake mkubwa Diamond Platnumz kwa kumgeuzia kiganja cha mkono, hakusita kusema kila mtu anasalimiwa kwa style yake. Akimanisha utofauti uliopo pindi unaposalimiana na mwanamke au mwanaume.View attachment 773373
Kwa hiyo siku hiyo walipigana mabega?Mmemnukuu vibaya ,itakua amemaanisha wanawake Uwa wanasalimiwa kwa kukumbatiwa na wanaume Uwa wanasalimiana kwa kupigana mabega
Sumu na Propagandakuna mstari FID Q aliuimba kwenye fresh kuhusu media flan kupromote hili beef anaeukumbuka
Pale unapozimwa ili ufunikwe na asiyeweza,Sumu na Propaganda
Alivyo na mihemko atajibu[emoji23]Ndo nachoomba hata mm, asitie neno lolote liwe zuri au baya akae kimya. Hizo ni mbinu za kumtia nyongo alopoke maana naye hanaga kifua.