Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
wala sikuwa najua kuwa kiba alifanyiwa interview!Hapa Diamond asijibu chochote maana mpk muda huu kiki yao imefeli haina trend yoyote so chibu akijifanya kujibu atawapa promo ya bure tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wala sikuwa najua kuwa kiba alifanyiwa interview!Hapa Diamond asijibu chochote maana mpk muda huu kiki yao imefeli haina trend yoyote so chibu akijifanya kujibu atawapa promo ya bure tu.
Inaendelea cloud fm mpk saa sita usiku.wala sikuwa najua kuwa kiba alifanyiwa interview!
Hahahaa jamaa naye kwa kwl hanaga dogo sijui huwa anapaniki nini?Alivyo na mihemko atajibu[emoji23]
Hanaga akili ya kujiongeza, na meneja wake yule Salam ndo muimba taarabu zero kabisa[emoji16][emoji16]Hizo ni trick za kumtia nyongo domo alopoke maana hanaga kifua yule choko. Ananikeraga hapo tu.
Ahsante kwa taarifa.Inaendelea cloud fm mpk saa sita usiku.
Pamoja sana.Ahsante kwa taarifa.
Asharopoka huko.Domond hawezi kukaa kimya leo insta kutachafuka ameliamsha dudeeee
saa sita usiku mkuu[emoji15]Inaendelea cloud fm mpk saa sita usiku.
Mkuu, Umeona hiyo attachment lakini?Acha kuposha Jamii ingia Youtube kwenye account ya Clouds fm usikilize vizuri....mashabiki mtakuja kufanya mashabiki wachomane visu
Wanakwambia it's "KIBA DAY"saa sita usiku mkuu[emoji15]
Mpaka sasa WCB,hawajaongea wala kupost chochote wapo kimyaDomond hawezi kukaa kimya leo insta kutachafuka ameliamsha dudeeee
Yaani hapo tu ndo huwa namshusha jamaa.....na alikiba ashajua weak point yake ndo huwa anaitumia hiyo kummaliza.Diamond ni mtoto wa uswazi amezoea kusutana. Hawezi kukaa kimyaa.
Wakifanya hivo itapendeza sana.Mpaka sasa WCB,hawajaongea wala kupost chochote wapo kimya
Mimi mwenyewe naomba avumilie hata wiki inatosha.CMG,Ommy na Kiba walihitaji view milion 3 youtube nyimbo ya yanje lkn wamefeli na amini hata hili watafeli tu na ndio maana wameamua kuweka nguvu kubwa.Wakifanya hivo itapendeza sana.
Adui wa adui yako ni rafiki yako. Hiyo ndo nature yetu sisi binadam.Ila clouds wanahaingaika sana si walikua wanambeba aslay hawa saiv wamegeukia kwa kiba na bure bure wanaitangaza biashara ya msauzi kisa kupromote bifu na wasafi aiseee