Alikiba amfananisha Diamond na "Mwanamke"

Alikiba amfananisha Diamond na "Mwanamke"

Acha kumlisha maneno hapo wapi kasema ' daimond ni mwanamke'? Kasema kuna style za salamu
 
Clouds Media ni wazandiki, Ali Kiba kuwa makini na hawa watu, kesho kutwa utawaona wanaelewana na Diamond wewe unaachiwa jumba bovu. Sio watu hawa, usikubali wakutumie kwenye ugomvi wao
 
ni kwamba IQ za watu humu ni ndgo sana au kuendekeza upuuzu,io kauli ya kiba na kumfananisha dai na mwanamke vnahusiana vp,heri ungemtafta kumuulza sio kumlisha tafsiri mtu..
we uhisi katoa jibu la utata makusudi? kwani angejibu straight tu ingekuaje...hata angetudanganya tu kwamba nilimpa vile mkono kwa kuwa sekunde chache nilijichokoa pua kwa mkono wa kulia,nikaona sio ustaarabu kunshikisha jamaa magaga ya pua..ndo nikaona niugeuze kiaina.

Kwa wastaarabu,mara nyingi mtu unapompa mkono kwa kuugeuza basi mkono sehemu ya mbele huwa inakuwa chafu au ina kitu ambacho huwezi kukiachia kwa wakati huo...sasa Kiba hakuwa na hizo sababu,sasa unataka kauli yake tuitafsiri vipi na wakati ye mwenyewe kaulizwa swali hlf anazunguka tu bila ya kutoa jibu la moja kw moja? acha kutetea ujinga wakati mwngine aloo
 
we uhisi katoa jibu la utata makusudi? kwani angejibu straight tu ingekuaje...hata angetudanganya tu kwamba nilimpa vile mkono kwa kuwa sekunde chache nilijichokoa pua kwa mkono wa kulia,nikaona sio ustaarabu kunshikisha jamaa magaga ya pua..ndo nikaona niugeuze kiaina.

Kwa wastaarabu,mara nyingi mtu unapompa mkono kwa kuugeuza basi mkono sehemu ya mbele huwa inakuwa chafu au ina kitu ambacho huwezi kukiachia kwa wakati huo...sasa Kiba hakuwa na hizo sababu,sasa unataka kauli yake tuitafsiri vipi na wakati ye mwenyewe kaulizwa swali hlf anazunguka tu bila ya kutoa jibu la moja kw moja? acha kutetea ujinga wakati mwngine aloo
Asante may be atakuelewa
 
we uhisi katoa jibu la utata makusudi? kwani angejibu straight tu ingekuaje...hata angetudanganya tu kwamba nilimpa vile mkono kwa kuwa sekunde chache nilijichokoa pua kwa mkono wa kulia,nikaona sio ustaarabu kunshikisha jamaa magaga ya pua..ndo nikaona niugeuze kiaina.

Kwa wastaarabu,mara nyingi mtu unapompa mkono kwa kuugeuza basi mkono sehemu ya mbele huwa inakuwa chafu au ina kitu ambacho huwezi kukiachia kwa wakati huo...sasa Kiba hakuwa na hizo sababu,sasa unataka kauli yake tuitafsiri vipi na wakati ye mwenyewe kaulizwa swali hlf anazunguka tu bila ya kutoa jibu la moja kw moja? acha kutetea ujinga wakati mwngine aloo
King kiba yupo sahihi kutokana na kazi ya sanaa.
Lengo lake limefanikiwa ndo maana hizi hoja zinajengwa mpaka Leo.
Katika sanaa unatakiwa kumuacha mtu na maswali ili atafute mwendelezo wa story.
kinachofanyika ni kubadili muundo tu watu wanaendelea kujadili.
Ni faida kwa Diamond & Alikiba unapofanya update ya majina yao katika ubongo wako kila Siku.
Ndo maana akutaka Kutoa majibu ya kumaliza story.
promo successful
 
Ikiwa leo ni siku maalumu kwa ajili ya mahojiano ya kiba pale mawingu (clouds) media, wenyewe wanakwambia ALIKIBA DAY. Baadhi ya maswali aliyoulizwa ni jinsi alivosalimiana na hasimu wake mkubwa Diamond Platnumz kwa kumgeuzia kiganja cha mkono, hakusita kusema kila mtu anasalimiwa kwa style yake. Akimanisha utofauti uliopo pindi unaposalimiana na mwanamke au mwanaume.View attachment 773373
unasalimiana mkononi na kila mtu JAMAA NASKIA ANATUPIA MAJINI
 
Pale unapozimwa ili ufunikwe na asiyeweza,
Cha ajabu wanampa promo lakini kwenye show nammeza.

Mwisho wa kunukuu.
Show zenyewe zipi?

Za birthday huko ughaibuni?

Hebu tupia link ya show japo moja huko mbele niione
 
Sasa hapo alipomfananisha na mwanamke wapi?? Nyie mashabiki maandazi ndo mnaochochea ugomvi usokuwa na maana
 
kuna mstari FID Q aliuimba kwenye fresh kuhusu media flan kupromote hili beef anaeukumbuka
Hawa furahi kutengeneze diamond na kiba wawili wanachotaka ni kumshusha mmoja ili mwingine awe dili
 
Sasa hapo alipomfananisha na mwanamke wapi?? Nyie mashabiki maandazi ndo mnaochochea ugomvi usokuwa na maana
Soma hiyo tweet kwa umakini
IMG_20180511_110714_339.jpg
 
Back
Top Bottom