Alikiba amfananisha Diamond na "Mwanamke"

Mmemnukuu vibaya ,itakua amemaanisha wanawake Uwa wanasalimiwa kwa kukumbatiwa na wanaume Uwa wanasalimiana kwa kupigana mabega
wanafby makusudi tu hakuna uhusiano wowote wa hio tweet na hcho watu wanachojaribu kukikuza
 
Fid q fact'hawaamini kwenye kuunda diamond na kiba ili wawe wawil, wanachoamin ni kimshusha mmoj ili mwingine awe dili
 
.
sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…