we uhisi katoa jibu la utata makusudi? kwani angejibu straight tu ingekuaje...hata angetudanganya tu kwamba nilimpa vile mkono kwa kuwa sekunde chache nilijichokoa pua kwa mkono wa kulia,nikaona sio ustaarabu kunshikisha jamaa magaga ya pua..ndo nikaona niugeuze kiaina.
Kwa wastaarabu,mara nyingi mtu unapompa mkono kwa kuugeuza basi mkono sehemu ya mbele huwa inakuwa chafu au ina kitu ambacho huwezi kukiachia kwa wakati huo...sasa Kiba hakuwa na hizo sababu,sasa unataka kauli yake tuitafsiri vipi na wakati ye mwenyewe kaulizwa swali hlf anazunguka tu bila ya kutoa jibu la moja kw moja? acha kutetea ujinga wakati mwngine aloo