AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Acha kudanganya watu wewe, Diamond hakuwepo kwenye uchafu huo.. Ali alikuwa anashindana na wakina shetta, dimpoz.. hata Sauti sol waliwatoa wasishindane na watoto.l
Diamond kuanzia sasa huwezi kumkuta kwenye vituzo uchwara kama hivyo, KTMA, wala TUZO ZA WATU...
AAAH JE UTANIPENDAGAAA?
Akae akijua DIAMOND PLATNUMZ ni bonge la SUPERSTAR .
Hapa bongo hakuna kama K 4 REAL
Habari wakuu!
Alikiba maarufu kama KingKiba fundi na funguo ya Bongo flava, Ameshinda Tuzo kubwa za nchini Kenya (Nzumari Awards) kama Best Male Artist na song of the year "Chekecha"
Katika Category hizo, Alikiba alikuwa akishindana na wasanii wengine kutoka East Africa ikiwemo hasimu wake Diamond Platinumz.
Note: Asante kwa fans kwa support mliyotoa, zaidi tujue Mziki wetu ni mkubwa kuliko tuzo.
KUJUA KAZI RAHA SANA
KUTUNAWACHEKA KWA DHARAU hehehehe
Hapa bongo hakuna kama K 4 REAL
Punguza povu mkuu! Leo ni siku ya Asfa Awards, subirin tuwatumbue jipu lingine, je utatupenda kwi kwi hehehe, tunawacheka kwa dharau
Kanunua shi'ngapi hiyo tuzo ???K 4 REAL atasimama milele daima
Hapa afrika hakuna kama Diamond
Kanunua shi'ngapi hiyo tuzo ???
wewe kiazi nini?