AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Habari wakuu!
Alikiba maarufu kama KingKiba fundi na funguo ya Bongo flava, Ameshinda Tuzo kubwa za nchini Kenya (Nzumari Awards) kama Best Male Artist na song of the year "Chekecha"
Katika Category hizo, Alikiba alikuwa akishindana na wasanii wengine kutoka East Africa ikiwemo hasimu wake Diamond Platinumz.
Note: Asante kwa fans kwa support mliyotoa, zaidi tujue Mziki wetu ni mkubwa kuliko tuzo.
KUJUA KAZI RAHA SANA
KUTUNAWACHEKA KWA DHARAU hehehehe
Alikiba maarufu kama KingKiba fundi na funguo ya Bongo flava, Ameshinda Tuzo kubwa za nchini Kenya (Nzumari Awards) kama Best Male Artist na song of the year "Chekecha"
Katika Category hizo, Alikiba alikuwa akishindana na wasanii wengine kutoka East Africa ikiwemo hasimu wake Diamond Platinumz.
Note: Asante kwa fans kwa support mliyotoa, zaidi tujue Mziki wetu ni mkubwa kuliko tuzo.
KUJUA KAZI RAHA SANA
KUTUNAWACHEKA KWA DHARAU hehehehe