tamadunimusic
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 551
- 559
Aisee huu utimu kweli shida tupu, hivi ulielewa swali ulilokuwa umeniuliza? Kwanza umejifanya kunikejeli kana kwamba video za show waga hazieditiwi haya nimekujibu hatma yake unarudi kujifanya unajua, me pale nilikuwa naongelea kazi ya kifesi kama editor na photographer wa Diamond so ata maedita na maphotografa wa wasanii wengine hizo ndio kazi zao. Hebu punguzeni basi utotoKwa hiyo unataka wawe wanapost show nzima Insta wakati kwa video Insta na dkk moja tu ndo maana baada ya apo anakwambia kuona show nzima nenda youtube.....kwa hiyo kama point ya kuedit show cyo kwa domo n kwa wasanii wote...!!
Ebu kula kwanza maana hii mida ya lunchAisee huu utimu kweli shida tupu, hivi ulielewa swali ulilokuwa umeniuliza? Kwanza umejifanya kunikejeli kana kwamba video za show waga hazieditiwi haya nimekujibu hatma yake unarudi kujifanya unajua, me pale nilikuwa naongelea kazi ya kifesi kama editor na photographer wa Diamond so ata maedita na maphotografa wa wasanii wengine hizo ndio kazi zao. Hebu punguzeni basi utoto
Lunch saa 9 mkuu? huu muda wa kula matunda na kunywa juice, anyway itakuwa ndo muda wako wa kula. Kama vipi Kula ukajenge taifa jf ni story tuEbu kula kwanza maana hii mida ya lunch
Yale matusi wameanza jana kumtukana?Hapo kajishusha nini sasa?
Ustaarabu kitu cha bure
Lol.....humjui?! Kamuulize Trump ama Obama wanamjua vzuri Alikiba!Alikiba ndio nani???
team kiba wanazngua,na wanatukana wao afu wanasingizia kuwa eti ni team mondi wakati wao ndio wana tabia za ivo.alikiba and his fans wanazngua sanaaNa mashabik wake wamewatukana sana MTV..mboa hajawaomba msamaha mtv?!
kwamaana nyingine anakubaliana na matusi wanayotukanwa watu wengine.
Kama angekuwa mstaarabu basi angewaomba msamaha watu wote waliotukanwa na Teamyake kwa tukio hili.
Atakuwa kaandikiwa na Kidoti.
Mijitu mingineAtakuwa kaandikiwa na Kidoti.
mie mwenyewe najua cha kujibu mitihani tuKweli kabisa kaka brave one kiingereza cha kuandika ni tofauti na kuongea unaweza kuta mtu anaweza kuongea lakini kuandika tabu na mwingine anaweza kuandika lakini kuongea tabu na mwingine anaweza vyote
Kumbee c mtu wa mchezo mchezo Huyo alikibaa??Lol.....humjui?! Kamuulize Trump ama Obama wanamjua vzuri Alikiba!
Alikiba hana uwezo wa kuandika kiingereza hichoHatamae Alikiba ametoa tamko rasmi kuwataka mashabiki wake kuacha kumtukana Wizkid kwenye mitandao , hii imetokana na alikiba kupewa tuzo ya mtv ema aliyokuwa amepewa mwanzo wizkid
Mashabiki hao walivamia ukurasa wa Wizkid na kuporumosha matusi mazito.
Alikiba amesema Wizkid ni msanii alefanikiwa zaidi mwaka huu na yeye ni mmoja wa mashabiki zake
View attachment 432652
mi naamini matusi n kosa kisheria so kama mtu hajaenda mahakaman hajatukanwaHakuna cha chuki..labda kama wewe unaangalia kwa karibu,ila kama unaangalia na upande wa pili basi utauona unafiki ndani yake..
Hiyo team yake kila siku inatukana watu hususan Diamond na familia yake,mbona hajasimama Allykiba akakemea hilo jambo?!kuna page huko insta inaitwa Shilolekiunoofficial inatoa matusi mfano hakuna!na mbaya zaidi mpaka seven Mosha na uongozi wote wa Allykiba wanampa sapoti na wanampongeza!!
kuna ustaarabu hapo?!hata Wema tu anajua kuidhibiti team Yake...team wema mpaka uwachokoze ndio watakutukana,ila nyie washenzy wa kiba baadhi yenu hamuhitaji kuchokozwa!!
kabisaAtakuwa kaandikiwa na Kidoti.