Leo tarehe 11/11/2016,kiba kaomba msamaha kwa Wizkid kwa hofu ya kujiharibia kwake na kwa mustakabari wa u-underground wake,kwani bado yupo kwenye harakati za kutoka kimuziki.Acha ulimbukeni, kama msanii katumia busara sana na kafanya jambo la kiungwana na ala kishujaa, kutoa tamko juu ya jambo baya amabalo linaweza kuhusishwa naye. Mbn serikali ikitoa tamko hamsemi imeomba msamaha.... Nlikuona mwelewa kumbe hovyoooo....
Kwangu mimi AMEFANYA KITU CHA KIPUMBAVU KUWAHI KUTOKEA CHINI YA JUA.WEWE HUJUI KINACHOENDELEA NDIO MAANA UNASEMA HIVO.Kiba kaonyesha ukomavu angekaa kimya ningemuona wa ajabu angefumbia macho hayo matusi.
Mbona mnahangaika na kiba wakat kiba haangaiki na ninyi. Mbona boss wako aliomba msamaha kwa davido.Yeye aendelee kujitekenya tu na kucheka mwenyewe,sisi tushapita level hizo,sijui kulilia tuzo,sijui kuomba msamaha,sijui nini ona level hizi.
Kama domo na mashabiki wake.Imekuwa timu domo tena jamani? Kwahiyo hakuna timu kiba walotukana bali ni timu domo, nimemsoma kiba katikati ya mistari ametaja kelele za "haters" na wewe unakuja kusema waliotukana ni timu domo, bado naendelea kuona kiba na shabiki zake mna matatizo sana.
WEWE NI MMOJA WA SHABIKI MFUATA MKUMBO,HUNA UNALOLIJUA KAA KIMYA AU ULIZA UAMBIWE WENYE FANI ZETU TUKUAMBIE.Kwa mtu muungwana lazima ange ki clear Yale matusi yaliyokuwa ya naendelea mitandaoni wala haihusiki na umeneja sijui wa mond wala west Africa. Sasa watakaotukana watukane kwa interest zao
Nyie hampat tuzo hadi kolabo na wanigeriaAmpat tunzo mpka mlie lie
Ndiyo mnataka kumbandika picha mbaya kiba akose kolabo na wanigeria hahaha. Unajua kolabo na wanigeria zinatoa sanaIvi kwann !!!eti now team mond ndo wamemtukana wizkid sasa hii 2much
Kwa hoja kama hizi usiwe unani quote kwa vile wewe huna hoja, sana sana utaanza kutukana vile ulivyo mweupe kichwani.Mbona mnahangaika na kiba wakat kiba haangaiki na ninyi. Mbona boss wako aliomba msamaha kwa davido.
Hellow simba. Pata soda barid bas. Hayo maneno ya kiba kusema ni mkubwa kuliko wiz kid source yako ni sallam siyo. Hahahahha kiba sijui kwa nini anawapa presha. Hili gazet si mchezo mazeeALI KIBA NI MNAFIKI...!!!!
Nilisha Sema Sehemu fulani na Hapa ninarudia Tena.....Effect ya Alicho Fanya Alikiba Katika Mziki wake ni Kubwaaaa mnoooo Hapo mashabiki wa Kiba mkubari,mkataeee Effect yake ni kubwa!!!!!
Then Nchi za Afrika nyingi ni tofauti sana na TANZANIA wenzetu ni wadadisi na watafiti ni watu wa kureason Out!! Kuna Shabiki alisema Humu ALIKIBA hategemei Collabo na Mnigeria yeyote wala Wizkid ili atoke Africa!,aKasema hawawezi dhurumiwa kisa kuogopa watasema ukweli lakini LEO naona MSANII wao Kaona Effect ya kinacho Endelea ndo maana kaja kuomba msamaha lakini kinafikiiii sanaaa
UKWELI ni huu....ALI KIBA alishaonesha beef na WIZKID toka kenya aliposema yeye ni mkubwa kuliko wizkid na Ataperfom mpaka wizkid apende Jukwaani....WIZ HANA noma Alipanda jukwaani SINA IMANI KAMA wizkid hiyo kitu atakuwa ameisahau kwa vijimaneno vya kinafiki vya ALIKIBA vya leo kuwa ni shabiki wake! Sidhani kama Mashabiki wa WIZKID wamesahau hio kitu kwa Vimaneno vya kiba vya leo!!!
Kabla hiyo haijaisha akiwa clouds aliwatuma mashabiki wake wakafanye wanayo yafanyaaa Leo anakuja Anawakana na Kusema yeye hao sio mashabiki wake, kweli au yule alie kuwa JAHAZI hakuwa yeye? Huo ni UNAFIKI!!!
Kiukweli hata yeye anatambua ili utoboe AFRIKA NI LAZIMA UFANYE VIZURI NIGERIA UKUBARI UKATAE MZIKI WA AFRIKA NI NIGERIA,kuona hilo leo anakuja kinafiki kuomba msamaha lakini mimi nasema ITS TOO LATE wizkid katukaniwa mama ake,katukaniwa familia yaKe,katukanwa yeye,mashabiki wake watukanwa,Winigeria wametukanwa Sidhani kama WATASAHAU kwa vimaneno vya kinafiki vya ALIKIBA vya leo!!!
Leo hii ALIKIBA aseme ana SHOW nigeria Sijui hata kama watu 200 wataingia kwenye hiyo show sina IMANI wala sina Imani kama VITUO VYa Radio vya NIGERIA vitacheza wimbo wowote wa AliKIBA MAANA hata MI mistari yake alifuta kuonesha uzalendo sina IMANI kama nyimbo za Alikiba zitachezwa NIGERIA!!! YOTE hii ni kukurupuka kuchinja kuku kwa njaa ya siku moja!!!
Waandaji wa TUZO wametukanwa sanaaaa As IF kila binadamu ni PERFECT yale matusi yamehifadhiwaaa MTV nzima wametukanwa kisa ALIKIBAA sidhani kama watasahau kwa vimaneno vya KIBA!!! Leo tupo Hapa Alikiba akija kuwa NOMINATED kwenye tuzo za MTV zozote zileee basi Sijui na kwa mziki wake uleee sijuiii
Alikiba na Mashabiki wake kwa ujumlaaaa walicho FANYA hawawezi kukifuta kwa njia yoyote ile hata ya MSAMAHAA kiasi gani,Sidhani hataa kama Davido atafanya collabo na ALIKIBA KWA alichoona kwa RAFIKI AKE alicho fanyiwa
MATUSI,KEJERI,DHARAU KWA WALIOKUTANGULIA sio njia ya kufanikiwa.....TUZO ni kitu kidogo sanaaaa,Mmeyafanya makubwa now MNAJISAFISHA HAKIKA ITS TOO LATE
JIFUNZENI HATA kwa mond Hata akionewa vipi hawezi act kama mtto wa K/koo
ALIKIBA NA MASHABIKI WAKE NI WASWAHILI SANAAAA......
Mmemdidimiza sanaaa ...... CHUKUENI HIYO TUZO LAKINI MSANII WENU ANAKAZI KUBWA
Kaka mimi lugha imepita kulia,naomba tafsiri.Mbona unsupported?!
Hehehehee mkuki kumoyoHuna fact unabwabwaja tu 1/4 inakuhusu
Kama unajua mimi ni kifesi,na ndio kuanzia leo usiwe unanibishia kitu kilichopo kwenye hii TASNIA YA MUZIKI.Kifesi lazima utetee ugali wako kwa boss by any means grow up
Yess kama domo kwa davido. Ahaha mnataka kiba asitoke na kolabo za wanigeria ili apate tuzo. Nyie vepeeeeLeo tarehe 11/11/2016,kiba kaomba msamaha kwa Wizkid kwa hofu ya kujiharibia kwake na kwa mustakabari wa u-underground wake,kwani bado yupo kwenye harakati za kutoka kimuziki.
Alikiba ndio nani???
Hahahha mmeshtukiwa, yani ninyi mliweka mambo sawa kwa davido baada ya simba kukosa tuzo channel o leo mnataka king k asiweke mambo sawa? Ohh please.Kwangu mimi AMEFANYA KITU CHA KIPUMBAVU KUWAHI KUTOKEA CHINI YA JUA.WEWE HUJUI KINACHOENDELEA NDIO MAANA UNASEMA HIVO.
Kwani Na hilo unabishaaa????? Acha kujitoa ufahamu hayaa basi Bisha na Hayoo kuwa ALIKIBA aliwaomba mashabiki wake Wakadai Tuzo sahizi anawakaaaaaaHellow simba. Pata soda barid bas. Hayo maneno ya kiba kusema ni mkubwa kuliko wiz kid source yako ni sallam siyo. Hahahahha kiba sijui kwa nini anawapa presha. Hili gazet si mchezo mazee
Sichukui mwanamke hasiyejua kuongea na mume wake vizuri.Acha maneno yako wewe yasiyokuwa na kichwa wala miguu,umepitia levo gani wewe???levo yako ni apa apa jf kukoment ujinga eti "sisi tushapita izo levo" we ndo nani sasa,MUME WANGU AU BWANA ANGU
Hellow team mondi. How do u do!! ( in Wendy's tone) [emoji23][emoji23][emoji23]Kaforce Kutengeneza Mitimu Sasa Imeanza Kumla.Team Kiba Na Bavicha Wana DNA Za Matusi Mazito Mazito - They So Desperate On Social Media, Hating Every Successful Being
Hellow hater, kiba kakuchafua leo polyeeeeeeeKwa hoja kama hizi usiwe unani quote kwa vile wewe huna hoja, sana sana utaanza kutukana vile ulivyo mweupe kichwani.