Hehehehe chezea kolabo za naija weweHaijawai kutokea domo kumsujudia kumbe yyt muulize kiba atakujibu hana time na kikaragos yyt
Hamfikii mtoto Tandale. Ooooh i mean Madalehuyi jamaa ana uswahili flani kama mashabiki wake ambao utamponza very soon
Ndio TupacAlikiba ndio nani???
Yess, a quote from Sallam. Mnapenda kumlisha maneno the King. Weka sauti hapa akiongea hayo maneno."MIMI NI ZAIDI YA WIZKID"KISHA UNAMUOMBA POOOO YA NINI !!!!!!!!!! UNAHOFIA NINI WAKATI WEWE NI ZAIDI YAKE ..................HILO JAMBO HATA HARMONIZE HAWEZI KULIFANYA KWA HUYO MTU.
Kama ninyi mlivyolilia za davido but anyway davido alipata kwa haki ndiyo maana hakunyang'anywa hahahhahahaha.NI AIBU SANA KWA MSANII UNAYEITWA "KING" NA MAZOMBI YAKO KULILIA TUZO,KITU AMBACHO HATA HARMONIZE HAWEZI KUKIFANYA.
We we siyo kick iyo acha uuuuuuAli Kiba anahangaika sana kwenye social media kupata kick...
.
Aboreshe muziki wake na maonyesho yake badala ya kulalama tu mtandaoni.
Mnajifanya mnajua kiingereza sana, mtu akikosea mnaponda sana, kwani kiswahili hamkikosei japo mumezaliwa mahala kilipozaliwa?English ya kuongea ni tofauti na ya kuandika mkuu
Hakuna cha chuki..labda kama wewe unaangalia kwa karibu,ila kama unaangalia na upande wa pili basi utauona unafiki ndani yake..Acha chuki za kishamba tatzo la tz mnachuki za kishenzi sana halafu sioni zinawapa faida gani. yaani nawashanga sana na mtu ukimchukia mtu ambae hana tatzo na ww unafaidika nn. ndio maana tutabak kua wa kijinga tu
Hapo kajishusha nini sasa?haya wale waliokuwa wanasema ajishushe kwa wizkid kwani yeye nani! haya ongeeni sasa
Ndo nimemjibu huyo jamaa hapo juuBosi anuniwi wewe Wizkid ni msanii mkubwa sana duniani alikiba mwenyewe ni shabiki
Uongozi wa alikiba wenyewe wanajua alikiba hana chembe ya kumvimbia Wizkid
Hahaha haya bhana Ila aliye pewa kapewaNyie hampat tuzo hadi kolabo na wanigeria
Ndio mungemwambia kiba HUSIPATE TABU YA KUJITETEA KWASABABU WANAOFANYA HIVO SIO "WATU WAKO" LAKINI KWASASA NDIO IMESHAANDIKWA KWENYE KUMBUKUMBU KUWA KIBA ALISHAWAHI KUOMBA MSAMAHA KWA WIZKID NA ALISHAWAHI KULILIA TUZO.
Kumbe tumekubaliana, aliyepewa kapewa, awe King Kiba au Mondi.Hahaha haya bhana Ila aliye pewa kapewa
Na mashabik wake wamewatukana sana MTV..mboa hajawaomba msamaha mtv?!baada ya kuipat tuzo ndo anasem ivo,kwanin hakuwakataz mashabik kumtkan wiz kabl hajarudisha tuzo?
English ya kuongea ni tofauti na ya kuandika mkuu
Kwani mashabiki wake kawapa kadi za kuwatambua.......??mkuu kumbe kiingereza kinakupa tabu.
Kiba ameandika kuwa hao wanaotukana sio fans wake.