Alikiba atoa tamko , awataka mashabiki waache kumtukana Wizkid aseme yeye ni shabiki wa Wizkid

Alikiba atoa tamko , awataka mashabiki waache kumtukana Wizkid aseme yeye ni shabiki wa Wizkid

ALI KIBA NI MNAFIKI...!!!!

Nilisha Sema Sehemu fulani na Hapa ninarudia Tena.....Effect ya Alicho Fanya Alikiba Katika Mziki wake ni Kubwaaaa mnoooo Hapo mashabiki wa Kiba mkubari,mkataeee Effect yake ni kubwa!!!!!

Then Nchi za Afrika nyingi ni tofauti sana na TANZANIA wenzetu ni wadadisi na watafiti ni watu wa kureason Out!! Kuna Shabiki alisema Humu ALIKIBA hategemei Collabo na Mnigeria yeyote wala Wizkid ili atoke Africa!,aKasema hawawezi dhurumiwa kisa kuogopa watasema ukweli lakini LEO naona MSANII wao Kaona Effect ya kinacho Endelea ndo maana kaja kuomba msamaha lakini kinafikiiii sanaaa

UKWELI ni huu....ALI KIBA alishaonesha beef na WIZKID toka kenya aliposema yeye ni mkubwa kuliko wizkid na Ataperfom mpaka wizkid apende Jukwaani....WIZ HANA noma Alipanda jukwaani SINA IMANI KAMA wizkid hiyo kitu atakuwa ameisahau kwa vijimaneno vya kinafiki vya ALIKIBA vya leo kuwa ni shabiki wake! Sidhani kama Mashabiki wa WIZKID wamesahau hio kitu kwa Vimaneno vya kiba vya leo!!!

Kabla hiyo haijaisha akiwa clouds aliwatuma mashabiki wake wakafanye wanayo yafanyaaa Leo anakuja Anawakana na Kusema yeye hao sio mashabiki wake, kweli au yule alie kuwa JAHAZI hakuwa yeye? Huo ni UNAFIKI!!!

Kiukweli hata yeye anatambua ili utoboe AFRIKA NI LAZIMA UFANYE VIZURI NIGERIA UKUBARI UKATAE MZIKI WA AFRIKA NI NIGERIA,kuona hilo leo anakuja kinafiki kuomba msamaha lakini mimi nasema ITS TOO LATE wizkid katukaniwa mama ake,katukaniwa familia yaKe,katukanwa yeye,mashabiki wake watukanwa,Winigeria wametukanwa Sidhani kama WATASAHAU kwa vimaneno vya kinafiki vya ALIKIBA vya leo!!!

Leo hii ALIKIBA aseme ana SHOW nigeria Sijui hata kama watu 200 wataingia kwenye hiyo show sina IMANI wala sina Imani kama VITUO VYa Radio vya NIGERIA vitacheza wimbo wowote wa AliKIBA MAANA hata MI mistari yake alifuta kuonesha uzalendo sina IMANI kama nyimbo za Alikiba zitachezwa NIGERIA!!! YOTE hii ni kukurupuka kuchinja kuku kwa njaa ya siku moja!!!

Waandaji wa TUZO wametukanwa sanaaaa As IF kila binadamu ni PERFECT yale matusi yamehifadhiwaaa MTV nzima wametukanwa kisa ALIKIBAA sidhani kama watasahau kwa vimaneno vya KIBA!!! Leo tupo Hapa Alikiba akija kuwa NOMINATED kwenye tuzo za MTV zozote zileee basi Sijui na kwa mziki wake uleee sijuiii

Alikiba na Mashabiki wake kwa ujumlaaaa walicho FANYA hawawezi kukifuta kwa njia yoyote ile hata ya MSAMAHAA kiasi gani,Sidhani hataa kama Davido atafanya collabo na ALIKIBA KWA alichoona kwa RAFIKI AKE alicho fanyiwa

MATUSI,KEJERI,DHARAU KWA WALIOKUTANGULIA sio njia ya kufanikiwa.....TUZO ni kitu kidogo sanaaaa,Mmeyafanya makubwa now MNAJISAFISHA HAKIKA ITS TOO LATE

JIFUNZENI HATA kwa mond Hata akionewa vipi hawezi act kama mtto wa K/koo

ALIKIBA NA MASHABIKI WAKE NI WASWAHILI SANAAAA......

Mmemdidimiza sanaaa ...... CHUKUENI HIYO TUZO LAKINI MSANII WENU ANAKAZI KUBWA

Kaka naomba uchukue ile Fanta mpya ya bariiiiid nakuja kulipa. Umesema kile nilichokua nakiwaza. Tuweke mambo ya uteam pembeni.. Halaf tuchukue mfano huu, Diamond kakosa tuzo mbili kwenye MTV mama awards na huyu kaka alifanya vizuri sana mwaka jana vizuri mnooo halipingiki na MTV wanajua maana walikua bingwa wa kusapoti kazi zake pia. Mchuano wake na wizkid ulikua mkali sana, I'm sure mpaka tuzo kwenda kwa wizkid MTVwenyewe walifanya maamuzi ya kishujaa sana(lol). Now how did Diamond react immediately baada ya kukosa tuzo zote? 1. Alifanya bonge moja la Perfomance mpaka BET na MTV Africa walionyesha hisia zao kwenye page zao kufurahia perfomance ile. 2. Kesho yake mapema sana alituma ujumbe wa shukurani kwa MTV, alitoa pongezi kwa washindi wote 3. Aliwashukuru voters wote na kuonyesha kiasi gani anathamini michango yao. 4. Kubwa kabisa alianza kupost kazi zake, matukio yake, kazi mpya ya stylist wake qboy msafi na kukimbiza gurudumu lake kama kawaida.
Mashabiki wa Diamond walijaribu kuonyesha kukasirika na matokeo lakini kwa kawaida sana, walirusha matusi ya hapa na pale kwa MTV lakini ni jambo ambalo hata MTV wenyewe waliona linakuja na litapita. Na kweli lilipita within 24hrs na maisha yakaendelea
Sasa kaka yetu wa Sony (Ali kiba) baada ya kukosa tuzo alikaa kimya, hakupost hata tangazo kwa takriban siku tatu, kisha wakati team yake inaendelea na mashambulizi ya mvua ya matusi yeye akaanza kupost picha tu kama kawaida bila kuongelea lolote kuhusu tuzo wala kuwaasa waache kutukana, hali iliendelea hivi mpaka ikawa out of control na MTV EMA kuanza kuwapa mashabiki majibu(ina maana waliona situation is getting out of control) mind you wizkid alikua akiona yanayoendelea na alikua kimya. Mwisho wa siku Tuzo ilirudi kwa Kiba (honestly MTV EMA hawakutoa sababu zozote za kueleweka za kuirudisha wamejibaraguza tu) Kiba hakusema kitu na wala hakupata promo kubwa from the MTV team maana hawakupost chochote kwenye page zao zenye influence za insta(mpaka leo hii). Kaka akakaa kimya mpaka juzi cjuy jana ndo kapost. Halaf kikafata na kipost cha msamaha kwa Wizkid (mhh ama kweli). Point yangu ni kuonyesha how two people handle their issues. Ndo maana wahenga walisema how you handle the problem is what defines you. Ndo maana mwisho wa siku Kiba kashindwa kupata shangwe na heshima kutoka kwa taifa maana hiyo tuzo yenyewe imekuja bila heshima. Plus asahau tena nominations huko kwa wenzetu maana sidhani kama watarudia makosa. Yale yaleee ya KTMA mpaka tuzo hadi leo zimekufa.
 
Yani ndio mana Wizkid aka tweet kuwa "there are so many dumb people in this world"...yani watu hawajui kabisa ku read between the lines...Kosa lime fanywa na MTV victims ni Wizkid na Alikiba...wote wawili ni wahanga wa yaliyo tokea,wanatokea watu wanao mlaumu/mtukana Wizkid kwa kosa lililo fanywa na MTV EMA, ambao ukiangalia kwa picha kubwa atakae onekana mbaya ni Alikiba, wengine wanatumia kivuli cha Alikiba kuonekana ni Alikiba ndio mwenye hayo maamuzi, kuna wangapi wenye nia mbaya na Ali wanao weza kuchukua hii nafasi kumchafua, okay tuyaache hayo, anakuja Alikiba kama mhanga mkuu wa tukio anapo jaribu ku neutralize situation na kutoonyesha uhasama baina yake na Wizkid, wanatokea watu na kusema asinge fanya hivo/ sasa mlitaka afanyaje ? He is simply showing a good gesture never the less a positive one but watu wanakua driven by emotions na utimu usio na msingi, according to his words ame claim kua ni it's in his belief that none of his true fans could be a part of that and he is actually condemning the whole situation but sjui tatizo ni kiingereza ??you guys are better than that, ndio mana wa Kenya wana tucheka kila siku ikija kwenye swala la kuelewa na kudadavua mambo
 
Yani ndio mana Wizkid aka tweet kuwa "there are so many dumb people in this world"...yani watu hawajui kabisa ku read between the lines...Kosa lime fanywa na MTV victims ni Wizkid na Alikiba...wote wawili ni wahanga wa yaliyo tokea,wanatokea watu wanao mlaumu/mtukana Wizkid kwa kosa lililo fanywa na MTV EMA, ambao ukiangalia kwa picha kubwa atakae onekana mbaya ni Alikiba, wengine wanatumia kivuli cha Alikiba kuonekana ni Alikiba ndio mwenye hayo maamuzi, kuna wangapi wenye nia mbaya na Ali wanao weza kuchukua hii nafasi kumchafua, okay tuyaache hayo, anakuja Alikiba kama mhanga mkuu wa tukio anapo jaribu ku neutralize situation na kutoonyesha uhasama baina yake na Wizkid, wanatokea watu na kusema asinge fanya hivo/ sasa mlitaka afanyaje ? He is simply showing a good gesture never the less a positive one but watu wanakua driven by emotions na utimu usio na msingi, according to his words ame claim kua ni it's in his belief that none of his true fans could be a part of that and he is actually condemning the whole situation but sjui tatizo ni kiingereza ??you guys are better than that, ndio mana wa Kenya wana tucheka kila siku ikija kwenye swala la kuelewa na kudadavua mambo
Source ya Matusi ni nini? Ilianza lini? Usimtetee....HUKUSIKIA KWENYE JAHAZI ALISEMA NINI?
 
Source ya Matusi ni nini? Ilianza lini? Usimtetee....HUKUSIKIA KWENYE JAHAZI ALISEMA NINI?

Kwenye Jahazi Gadna ndio alimuuliza imekuaje kwenye website ya MTV inaonyesha kua alikiba ndio mshindi (ameongoza kwa kura) lakini tuzo imeenda kwa Wizzy, yeye akamjibu kua management yake inafuatilia hilo suala, sasa sijui ni kipi kingine walichoongea ambacho wewe ulikisikia na mimi siku kisikia mkuu nifahamishe na mimi nijue....na simtetei najaribu tu kuiangalia situation nzima kwa pande zite tatu
 
Yani ndio mana Wizkid aka tweet kuwa "there are so many dumb people in this world"...yani watu hawajui kabisa ku read between the lines...Kosa lime fanywa na MTV victims ni Wizkid na Alikiba...wote wawili ni wahanga wa yaliyo tokea,wanatokea watu wanao mlaumu/mtukana Wizkid kwa kosa lililo fanywa na MTV EMA, ambao ukiangalia kwa picha kubwa atakae onekana mbaya ni Alikiba, wengine wanatumia kivuli cha Alikiba kuonekana ni Alikiba ndio mwenye hayo maamuzi, kuna wangapi wenye nia mbaya na Ali wanao weza kuchukua hii nafasi kumchafua, okay tuyaache hayo, anakuja Alikiba kama mhanga mkuu wa tukio anapo jaribu ku neutralize situation na kutoonyesha uhasama baina yake na Wizkid, wanatokea watu na kusema asinge fanya hivo/ sasa mlitaka afanyaje ? He is simply showing a good gesture never the less a positive one but watu wanakua driven by emotions na utimu usio na msingi, according to his words ame claim kua ni it's in his belief that none of his true fans could be a part of that and he is actually condemning the whole situation but sjui tatizo ni kiingereza ??you guys are better than that, ndio mana wa Kenya wana tucheka kila siku ikija kwenye swala la kuelewa na kudadavua mambo
Bulaza hongera sana tena sana,maana hiki kiingilishi chako kama sio Exford basi ni UDSM. Lakini kaka msomi mi nakuuliza kitu kimoja,hivi tatizo linatatuliwa kwa kuanzia juu au chini ................. Maana mwanzo wa YOOOOOOOOOTE NI YEYE,KWAHIYO ALILOLITENGENEZA LINAMRUDIA KUMWADHIBU MWENYEWE. NA ATAENDELEA KUOMBA POO SANA KAMA HAJAJICHUNGUZA VIZURI.
 
Bulaza hongera sana tena sana,maana hiki kiingilishi chako kama sio Exford basi ni UDSM. Lakini kaka msomi mi nakuuliza kitu kimoja,hivi tatizo linatatuliwa kwa kuanzia juu au chini ................. Maana mwanzo wa YOOOOOOOOOTE NI YEYE,KWAHIYO ALILOLITENGENEZA LINAMRUDIA KUMWADHIBU MWENYEWE. NA ATAENDELEA KUOMBA POO SANA KAMA HAJAJICHUNGUZA VIZURI.

Labda nikuulize, Ali amekosea wapi ? Kabla sijajibu swali lako ningependa kujua unavyo ongelea kutatua tatizo, je ni tatizo gani haswa unalo liongelea na ni nani alie tatua hilo tatizo kuanzia wapi kuelekea wapi ? Maana nahisi tunaongea vitu visivyo shabihiana
 
Yani ndio mana Wizkid aka tweet kuwa "there are so many dumb people in this world"...yani watu hawajui kabisa ku read between the lines...Kosa lime fanywa na MTV victims ni Wizkid na Alikiba...wote wawili ni wahanga wa yaliyo tokea,wanatokea watu wanao mlaumu/mtukana Wizkid kwa kosa lililo fanywa na MTV EMA, ambao ukiangalia kwa picha kubwa atakae onekana mbaya ni Alikiba, wengine wanatumia kivuli cha Alikiba kuonekana ni Alikiba ndio mwenye hayo maamuzi, kuna wangapi wenye nia mbaya na Ali wanao weza kuchukua hii nafasi kumchafua, okay tuyaache hayo, anakuja Alikiba kama mhanga mkuu wa tukio anapo jaribu ku neutralize situation na kutoonyesha uhasama baina yake na Wizkid, wanatokea watu na kusema asinge fanya hivo/ sasa mlitaka afanyaje ? He is simply showing a good gesture never the less a positive one but watu wanakua driven by emotions na utimu usio na msingi, according to his words ame claim kua ni it's in his belief that none of his true fans could be a part of that and he is actually condemning the whole situation but sjui tatizo ni kiingereza ??you guys are better than that, ndio mana wa Kenya wana tucheka kila siku ikija kwenye swala la kuelewa na kudadavua mambo
Angewakataza mashabiki wake from the beginning na kwa nn kafanya baada ya tuzo kurudishwa inamaana isingerudishwa hadi leo wangekuwa wanatukana....
 
ALI KIBA NI MNAFIKI...!!!!

Nilisha Sema Sehemu fulani na Hapa ninarudia Tena.....Effect ya Alicho Fanya Alikiba Katika Mziki wake ni Kubwaaaa mnoooo Hapo mashabiki wa Kiba mkubari,mkataeee Effect yake ni kubwa!!!!!

Then Nchi za Afrika nyingi ni tofauti sana na TANZANIA wenzetu ni wadadisi na watafiti ni watu wa kureason Out!! Kuna Shabiki alisema Humu ALIKIBA hategemei Collabo na Mnigeria yeyote wala Wizkid ili atoke Africa!,aKasema hawawezi dhurumiwa kisa kuogopa watasema ukweli lakini LEO naona MSANII wao Kaona Effect ya kinacho Endelea ndo maana kaja kuomba msamaha lakini kinafikiiii sanaaa

UKWELI ni huu....ALI KIBA alishaonesha beef na WIZKID toka kenya aliposema yeye ni mkubwa kuliko wizkid na Ataperfom mpaka wizkid apende Jukwaani....WIZ HANA noma Alipanda jukwaani SINA IMANI KAMA wizkid hiyo kitu atakuwa ameisahau kwa vijimaneno vya kinafiki vya ALIKIBA vya leo kuwa ni shabiki wake! Sidhani kama Mashabiki wa WIZKID wamesahau hio kitu kwa Vimaneno vya kiba vya leo!!!

Kabla hiyo haijaisha akiwa clouds aliwatuma mashabiki wake wakafanye wanayo yafanyaaa Leo anakuja Anawakana na Kusema yeye hao sio mashabiki wake, kweli au yule alie kuwa JAHAZI hakuwa yeye? Huo ni UNAFIKI!!!

Kiukweli hata yeye anatambua ili utoboe AFRIKA NI LAZIMA UFANYE VIZURI NIGERIA UKUBARI UKATAE MZIKI WA AFRIKA NI NIGERIA,kuona hilo leo anakuja kinafiki kuomba msamaha lakini mimi nasema ITS TOO LATE wizkid katukaniwa mama ake,katukaniwa familia yaKe,katukanwa yeye,mashabiki wake watukanwa,Winigeria wametukanwa Sidhani kama WATASAHAU kwa vimaneno vya kinafiki vya ALIKIBA vya leo!!!

Leo hii ALIKIBA aseme ana SHOW nigeria Sijui hata kama watu 200 wataingia kwenye hiyo show sina IMANI wala sina Imani kama VITUO VYa Radio vya NIGERIA vitacheza wimbo wowote wa AliKIBA MAANA hata MI mistari yake alifuta kuonesha uzalendo sina IMANI kama nyimbo za Alikiba zitachezwa NIGERIA!!! YOTE hii ni kukurupuka kuchinja kuku kwa njaa ya siku moja!!!

Waandaji wa TUZO wametukanwa sanaaaa As IF kila binadamu ni PERFECT yale matusi yamehifadhiwaaa MTV nzima wametukanwa kisa ALIKIBAA sidhani kama watasahau kwa vimaneno vya KIBA!!! Leo tupo Hapa Alikiba akija kuwa NOMINATED kwenye tuzo za MTV zozote zileee basi Sijui na kwa mziki wake uleee sijuiii

Alikiba na Mashabiki wake kwa ujumlaaaa walicho FANYA hawawezi kukifuta kwa njia yoyote ile hata ya MSAMAHAA kiasi gani,Sidhani hataa kama Davido atafanya collabo na ALIKIBA KWA alichoona kwa RAFIKI AKE alicho fanyiwa

MATUSI,KEJERI,DHARAU KWA WALIOKUTANGULIA sio njia ya kufanikiwa.....TUZO ni kitu kidogo sanaaaa,Mmeyafanya makubwa now MNAJISAFISHA HAKIKA ITS TOO LATE

JIFUNZENI HATA kwa mond Hata akionewa vipi hawezi act kama mtto wa K/koo

ALIKIBA NA MASHABIKI WAKE NI WASWAHILI SANAAAA......

Mmemdidimiza sanaaa ...... CHUKUENI HIYO TUZO LAKINI MSANII WENU ANAKAZI KUBWA

What's your take?

Wewe msanii wako nani?
 
Angewakataza mashabiki wake from the beginning na kwa nn kafanya baada ya tuzo kurudishwa inamaana isingerudishwa hadi leo wangekuwa wanatukana....

Unajua kosa la Alikiba ni nini ? Mimi ntakwambia, kosa la Alikiba ni kuwa Alikiba, nna maana gani, angeongea kitu mngesema anajipendekeza/mngesema ana jikweza/mngesema anatafta kiki...hatukosagi la kusema hata asipo sema kitu...ifikie wakati tujitahidi ku support mziki wa kila mwanamziki Kutoka Tanzania anae onyesha juhudi kwa maana heshima inarudi kwetu wenyewe, ukiangalia kwa mtazamo mdogo utaona anaye komolewa ni Ali lakini kwenye picha kubwa tunaonekana ni vituko katika nchi za wenzetu nje ya Tanzania, nahisi tunahitaji zaidi kuji tafakari kwa mapana zaidi
 
Yeye aendelee kujitekenya tu na kucheka mwenyewe,sisi tushapita level hizo,sijui kulilia tuzo,sijui kuomba msamaha,sijui nini ona level hizi.

Tuzo za ujanja ujanja tumeshazistukia nyie wazee wa fitina na figisu figisu Kama CCM hizo tuzo hazina maana tena Wenda kuna watu walizurumiwa
 
Labda nikuulize, Ali amekosea wapi ? Kabla sijajibu swali lako ningependa kujua unavyo ongelea kutatua tatizo, je ni tatizo gani haswa unalo liongelea na ni nani alie tatua hilo tatizo kuanzia wapi kuelekea wapi ? Maana nahisi tunaongea vitu visivyo shabihiana
Yes kaka msomi, ni kweli unaongea kitu husichokijua, maana ungekuwa unajua mambo ya huyu "king wetu" husingemtetea labda uwe ni kati ya wale mashabiki wasio mnufaisha kwa lolote zaidi ya uwezo wao wa matusi. Picha linaanza wakati huo anatoa wimbo wake na kujitapa redioni "nimekuja kufuta vumbi kiti changu" "mimi ndio king huyo mwingine wanamsikiliza kwa vile kilicho bora hakipo" "mimi siwezi kutoa wimbo chini ya miezi 6" "mimi siwezi kuweka dancers kwa vile mimi mwenyewe ni zaidi ya dancer" "kwangu tuzo si kitu" "nimeshafanya kazi na R. kelly wanigeria kitu gani" Sasa angalia hizo kauli kwa undani anamlenga nani ............. Sasa juzi kati kasema "hata mashabiki wangu wanashangaa hizi tuzo zina zigezo gani kama sio kupiga kura" kwahiyo taarifa ya mashabiki wake wanafanya nini kwenye page ya Wizkid na MTV EMA ALIKUWA NAYO ILA ALIKUWA ANASUBIRI APEWE NDIO AONGEE SASA WALE MASHABIKI WAKAENDELEZA NA MATUSI YAO,LEO MUKISEMA ETI YUKO SAHIHI MNAKOSEA KWASABABU MATUSI WAMEANZA KABLA HAJAPATA HURUMA YA KUPEWA.
 
Tuzo za ujanja ujanja tumeshazistukia nyie wazee wa fitina na figisu figisu Kama CCM hizo tuzo hazina maana tena Wenda kuna watu walizurumiwa
Chukua na hii,Zenji hiyo.
 
Yes kaka msomi, ni kweli unaongea kitu husichokijua, maana ungekuwa unajua mambo ya huyu "king wetu" husingemtetea labda uwe ni kati ya wale mashabiki wasio mnufaisha kwa lolote zaidi ya uwezo wao wa matusi. Picha linaanza wakati huo anatoa wimbo wake na kujitapa redioni "nimekuja kufuta vumbi kiti changu" "mimi ndio king huyo mwingine wanamsikiliza kwa vile kilicho bora hakipo" "mimi siwezi kutoa wimbo chini ya miezi 6" "mimi siwezi kuweka dancers kwa vile mimi mwenyewe ni zaidi ya dancer" "kwangu tuzo si kitu" "nimeshafanya kazi na R. kelly wanigeria kitu gani" Sasa angalia hizo kauli kwa undani anamlenga nani ............. Sasa juzi kati kasema "hata mashabiki wangu wanashangaa hizi tuzo zina zigezo gani kama sio kupiga kura" kwahiyo taarifa ya mashabiki wake wanafanya nini kwenye page ya Wizkid na MTV EMA ALIKUWA NAYO ILA ALIKUWA ANASUBIRI APEWE NDIO AONGEE SASA WALE MASHABIKI WAKAENDELEZA NA MATUSI YAO,LEO MUKISEMA ETI YUKO SAHIHI MNAKOSEA KWASABABU MATUSI WAMEANZA KABLA HAJAPATA HURUMA YA KUPEWA.

Maneno yako yame jaa chuki kidogo lakini tuyaache hayo maana mada hapa ni kuhusiana na kinacho endelea na si kilicho wahi kutokea...kwa uelewa wangu kutokana na maandishi yako inaonekana kilicho kuumiza wewe ni muda wa Alikiba kutoa tamko, kwamba "ULIVYO KUA UNATAKA WEWE" ni atoe tamko kipindi mashabiki ambao kulingana na pande zote mbili (ambao hawaja julikana ni wa nani) walivo anza ku comment kwenye page ya Wizkid na Mtv na si alivyo AMUA YEYE kutoa tamko baada ya kupewa what was rightfully his kulingana na kura zilizo pigwa ? Maana ndicho cha msingi ulicho kiongea kwenye maandishi yako hapo juu ???
 
Yes kaka msomi, ni kweli unaongea kitu husichokijua, maana ungekuwa unajua mambo ya huyu "king wetu" husingemtetea labda uwe ni kati ya wale mashabiki wasio mnufaisha kwa lolote zaidi ya uwezo wao wa matusi. Picha linaanza wakati huo anatoa wimbo wake na kujitapa redioni "nimekuja kufuta vumbi kiti changu" "mimi ndio king huyo mwingine wanamsikiliza kwa vile kilicho bora hakipo" "mimi siwezi kutoa wimbo chini ya miezi 6" "mimi siwezi kuweka dancers kwa vile mimi mwenyewe ni zaidi ya dancer" "kwangu tuzo si kitu" "nimeshafanya kazi na R. kelly wanigeria kitu gani" Sasa angalia hizo kauli kwa undani anamlenga nani ............. Sasa juzi kati kasema "hata mashabiki wangu wanashangaa hizi tuzo zina zigezo gani kama sio kupiga kura" kwahiyo taarifa ya mashabiki wake wanafanya nini kwenye page ya Wizkid na MTV EMA ALIKUWA NAYO ILA ALIKUWA ANASUBIRI APEWE NDIO AONGEE SASA WALE MASHABIKI WAKAENDELEZA NA MATUSI YAO,LEO MUKISEMA ETI YUKO SAHIHI MNAKOSEA KWASABABU MATUSI WAMEANZA KABLA HAJAPATA HURUMA YA KUPEWA.

Na huja nijibu maswali yangu hapo juu kulingana na ulicho kua una zungumzia
 
Diamond na tim yake watu wa fitina Sana wakalimpa tecno PESA ili ataje Simba ili kumdhoofisha king.
Na atazidi kumuacha mbali sana kama kila linalomtokea anamuona DIAMOND tu,soma caption hiyo.

 
Back
Top Bottom