King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kigogo ashawaingiza chaka.Taarifa nilizopata hv soon Anaumwa yupo icu yp hoi hoi dua mungu tu amlinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigogo ashawaingiza chaka.Taarifa nilizopata hv soon Anaumwa yupo icu yp hoi hoi dua mungu tu amlinde
Siku hizi wamekuwa na tamaa za vyeo vya ki siasa. Hapo itakuwa kuna Jimbo analisikilizia. Nimemsikia hata yule wa kongo, koffi, anasema, anataka uongozi hata asilipwe lakini apate nafasi tu ya kuwatumikia wananchi wake kisiasa.Labda anataka kufungua channel ya Tv baada ya kumiliki radio
Yule ana shule kichwani,ni economist mzuri tu..sasa hizi takataka zetu huku bongoSiku hizi wamekuwa na tamaa za vyeo vya ki siasa. Hapo itakuwa kuna Jimbo analisikilizia. Nimemsikia hata yule wa kongo, koffi, anasema, anataka uongozi hata asilipwe lakini apate nafasi tu ya kuwatumikia wananchi wake kisiasa.
Aisee"Mshamba fulani mwenye maringo ya kishamba!"
Kwani wewe unaweza kuwa vile watu wanavyotaka??"Mshamba fulani mwenye maringo ya kishamba!"
"mshamba fulani"Kwani wewe unaweza kuwa vile watu wanavyotaka??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo Babutale, Diamond na baunsa wake Onesmus aliyewala siyo wa kishamba?
Huwa anakula vitu vya Tandalep diddy halagi vitu vya kishamba
Wee wedada wanamfia"Mshamba fulani mwenye maringo ya kishamba!"