Kumbe a/c ya Pompeo imekua hacked
[emoji16][emoji16]Ndio maana hadi aliachaga music ,anajifanya shekhe sana wakati amewazalisha wanawake kibao kushinda hata huyo mondi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana maringo sanajamaa ana fans wengi bt maringo ka demu, acha mmakonde ajitwalie nafasi yake akijashtuka atakua kaishachelewa
Alikuwa overrated sana hapo kipindi cha katikati, saahiz hata waliokuwa wakimshabikia wameufyata