Applicant
JF-Expert Member
- Feb 12, 2020
- 1,962
- 1,751
Huyu jamaa namuelewaga sana anavyoimba, lakini kazubaa sana, anashindwa hadi na wakina Meja kunta, hajui kujiuza ndio maana hata deal za matangazo hapati, huyu jamaa yupoyupo tuu.
Kama mziki hawezi si bora akauze hata mitumba
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mziki hawezi si bora akauze hata mitumba
Sent using Jamii Forums mobile app