Alikiba kazubaa sana

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Inakuaje unakwazika na maisha ya mtu

Sent from my TECNO LB6 using Tapatalk
 

Ali Kiba ni mwanamuziki. Kazi ya mwanamuziki ni kuimba. Wewe mwenyewe unamkubali sana anavyoimba. Hii inaonyesha kwamba kazi yake (ya kuimba) anaifanya vizuri!
Hayo mengine uliyoyasema ni matatizo YAKO mkuu, sio yake maana yeye kazi yake anaifanya vizuri na ameridhika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…