Mambovp rukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiba anazingua Sana.
[emoji23][emoji23][emoji23] naelewaww ni POMPEO hauelewi nn ? kwani Makonda ulimfanyia nn ? au ww ni shati la pompeo huelewi chochote upo upo kama mtumba karume ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa namuelewaga sana anavyoimba, lakini kazubaa sana, anashindwa hadi na wakina Meja kunta, hajui kujiuza ndio maana hata deal za matangazo hapati, huyu jamaa yupoyupo tuu.
Kama mziki hawezi si bora akauze hata mitumba
Sent using Jamii Forums mobile app