Maji kupwa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2019
- 315
- 330
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nipo nae hapa, na nime mwonyesha uzi wako kasema wewe jamaa ni shabiki maandazi
Wamwache kiba na maisha yake.Umemkumbukia nini?
Maana kesho akiachia wimbo utaupenda, utasahau
Atapotea
Ataachia wimbo tena......
Ndio maisha yake, mswahili halisi karidhika
Diamond ni mswahili mzungu he is greedy anajua hela
Tatizo ni nini? Kutaka wafanane?
HahahAchaneni na Kiba jamani yeye akishabikiwa na Diva wa clouds inatosha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Muda mrefu ujaonekana hapa jamvini
Ambao hatuna mihemko....tunakula good musicAlikiba ana fans wake kina sisi
Overrated anachukua tuzo MTV? Tena mbele ya WIZKID jikaze weweeeAlikuwa overrated sana hapo kipindi cha katikati, saahiz hata waliokuwa wakimshabikia wameufyata
Kwa hiyo sheikh hazai?...ndo ujue Kiba kamzidi domo Kila kituNdio maana hadi aliachaga music ,anajifanya shekhe sana wakati amewazalisha wanawake kibao kushinda hata huyo mondi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbn mnaweweseka?..MMAKONDE si alichukua tangu yupo WCB shida nnjamaa ana fans wengi bt maringo ka demu, acha mmakonde ajitwalie nafasi yake akijashtuka atakua kaishachelewa
Kwani hawajui bas wanajichetua tuu..Ngoma1 ya kingkiba ni sawa na ngoma1000 za mondi...yule jamaa ni nyoko aimbagi uchafu.Cku atakayoamua kuliamsha dude dunia yote inazimama...wait en see%Kiba4Real!
Sent using Jamii Forums mobile app