Vp upande wa views YouTube Kiba Aje iliyotoka miezi miwili sijui mitatu nyuma na ya Mondi aliyotoka mwezi 1 uliopita ziko vp?
Haha et views is nothing acha kujitoa ufahamu ww..Views YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] inasemekana lakini pesa ndo kila kitu na wao wanunue tuwe sawaEt nyie kule inst na youtube mnanunuaga viewers[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hii ni kwa wale wakuu wote waliochoshwa na mziki wa maigizo, Kiki za kipuuzi, sarakasi, show za play back, video za kucopy na kuungaunga, show off za kitoto na mziki wa big jii.
Mark the date 25 August mwaka huu, Kingkiba Kuachia Laana Mpya mjini Original Aje Remix featuring Rapper mahiri kutoka Nigeria M.I, Wimbo huu ni tofauti by 90% ya ule uliovuja, Video directed by director Mejialabi, South Africa.
Hata Mb Dogg alishafanyiaView attachment 383195View attachment 383196View attachment 383197
Diamond alianza kushoot na huu mjengo akaja Wizkid hapo niliona directors wa SA nao kuna mda wanafeli nw Kiba duh
Kwakuiga huku labda atasimamisha mb** sio dunia
viewers wanalipaViews YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
Ha ha ha ha ha nacheka kwa dharau kuona king nae kaomba "COLLABO"Hii ni kwa wale wakuu wote waliochoshwa na mziki wa maigizo, Kiki za kipuuzi, sarakasi, show za play back, video za kucopy na kuungaunga, show off za kitoto na mziki wa big jii.
Mark the date 25 August mwaka huu, Kingkiba Kuachia Laana Mpya mjini Original Aje Remix featuring Rapper mahiri kutoka Nigeria M.I, Wimbo huu ni tofauti by 90% ya ule uliovuja, Video directed by director Mejialabi, South Africa.
Na mbaya zaidi wanamaliza mb zao kutukanana lakini hela wanapiga wengine. Mi tanzania tunaongoza kwa u.pumbavu.Team zisizo na makocha katika ubora wao..Ngoja waje upande wa pili
Kila kitu wanasubiri Diamond afanye na wao ndio wafanye, Diamond kapeleka 20ml GSM ati wao wakapeleka 21ml. Mnamtesa tu Ali Kiba maana uwezo wenyewe zero,bado anaishi kwa mama na umri umemkimbia. Hiyo 21ml si angenyanyua hata msingi wa nyumba.
Mbona hueleweki unazungumza nnYaani ukiipiga MAKIMUGA leo inaamsha shangwe na hisia za wasikilizaji kuliko sijui ile wanaita kidogodogo sijui nimeisikia juzi na wanaijeria flani hv jamaa yetu wa madale. Kiufupi mm namshauri Mondi na menejimenti yake kama anavyopendaga yy kuita its better they sit down na kujitafakari walikotoka walipo na wanaokoenda, wamepiga hatua sawa but nahisi ukuta upo karibu yao sana....... singles sustainability is missing somewhere
Huyo labda afanye kolabo na wema ndio atapata viewers wengi.mwanaume anaishi kwa kutegemea team wema imbebe a.k.a team vigodoroViews YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo labda afanye kolabo na wema ndio atapata viewers wengi.mwanaume anaishi kwa kutegemea team wema imbebe a.k.a team vigodoro