Alikiba kuisimamisha dunia August 25

Alikiba kuisimamisha dunia August 25

Muziki sio mashindani, na humpangii shibiki wa muziki ampende msanii huyo na amchukie huyu. Katika muziki tunaupenda kutokana na burudani na ujumbe tunaoupata katika muziki wenyewe. Sasa ushabiki wa wasanii ni namna fulani ya kutojielewa. Ushabiki kama huu upelekwe kwenye masumbwi tu.kama unamchukia msanii hautaona uzuri wake maana utausikiliza ukiwa tayari una majibu yako kichwani. Tupendeni mziki mzuri na sio kua na ushabiki kwa wasanii tena kwa kuwajengea chuki wengine.
 
Vp upande wa views YouTube Kiba Aje iliyotoka miezi miwili sijui mitatu nyuma na ya Mondi aliyotoka mwezi 1 uliopita ziko vp?

Views YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
 
Views YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
Haha et views is nothing acha kujitoa ufahamu ww..
 
Hii ni kwa wale wakuu wote waliochoshwa na mziki wa maigizo, Kiki za kipuuzi, sarakasi, show za play back, video za kucopy na kuungaunga, show off za kitoto na mziki wa big jii.

Mark the date 25 August mwaka huu, Kingkiba Kuachia Laana Mpya mjini Original Aje Remix featuring Rapper mahiri kutoka Nigeria M.I, Wimbo huu ni tofauti by 90% ya ule uliovuja, Video directed by director Mejialabi, South Africa.

Mmmmh! Bora isisimame coz tarehe hiyo ndo mdeni wangu kaahidi kuripa deni langu.
 
Views YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
viewers wanalipa
kila mtu mmoja anaetizama analipa
ndio maana watu wanaigiza vichekesho wanaweka youtube..
upo?
 
Naisubiri kwa hamu sana wakati aje ikiendelea kutamba mtaani redion ndani ya tv clubs nikafikiri amemaliza kumbe kuna org yake inakuja[emoji3][emoji3][emoji3] naisubiri kwa hamu kubwa king kiba daima
 
Hii ni kwa wale wakuu wote waliochoshwa na mziki wa maigizo, Kiki za kipuuzi, sarakasi, show za play back, video za kucopy na kuungaunga, show off za kitoto na mziki wa big jii.

Mark the date 25 August mwaka huu, Kingkiba Kuachia Laana Mpya mjini Original Aje Remix featuring Rapper mahiri kutoka Nigeria M.I, Wimbo huu ni tofauti by 90% ya ule uliovuja, Video directed by director Mejialabi, South Africa.
Ha ha ha ha ha nacheka kwa dharau kuona king nae kaomba "COLLABO"
 
Duu noma sana popote anapopita Rais wa bongoflava chibude lazima aache alama kumbe mzee wa wanyama unamkubali south mmeungatela kila mtu saiz video south colabo nigeria umeungatela [emoji23][emoji23] haya kahamia zimbabwe karibu na huku mzee wa fursa anawafagilia njia mteleze [emoji23][emoji23][emoji23]acheni chibu aitwe chibudeee mond we nomaaa !! Veep project na neyo imeishia airport
 
Kila kitu wanasubiri Diamond afanye na wao ndio wafanye, Diamond kapeleka 20ml GSM ati wao wakapeleka 21ml. Mnamtesa tu Ali Kiba maana uwezo wenyewe zero,bado anaishi kwa mama na umri umemkimbia. Hiyo 21ml si angenyanyua hata msingi wa nyumba.

Wewe moyo wako wakishetani kutoa ni moyo sio lazima uwe na mabilion ndo utoe.
 
Yaani ukiipiga MAKIMUGA leo inaamsha shangwe na hisia za wasikilizaji kuliko sijui ile wanaita kidogodogo sijui nimeisikia juzi na wanaijeria flani hv jamaa yetu wa madale. Kiufupi mm namshauri Mondi na menejimenti yake kama anavyopendaga yy kuita its better they sit down na kujitafakari walikotoka walipo na wanaokoenda, wamepiga hatua sawa but nahisi ukuta upo karibu yao sana....... singles sustainability is missing somewhere
Mbona hueleweki unazungumza nn
 
Alikiba hana ubunifu wowote!.
Hivi humu sijui fikara hatunaaa Mara timukiba Mara timu diamond. Unawezaje kuwalinganisha alikba na diamond kwa sasa japo alikiba alianza kuvuma yeye lkn tukubali diamond yuko mbali sana kimuziki na walionyuma yake wanajifunza mengi kutoka kwake hata king kiba/Alikiba mwenyewe anamkubali lkn nawashangaaa mashaabiki zake ndo mnakomaaaa et aisimamishe dunia !!!
 
Views YouTube hazidetermine ukubwa wa ngoma, hata wewe ukijirekod utupu ukaitupia video YouTube vile vile utapata views wengi, so views is nothing.
Huyo labda afanye kolabo na wema ndio atapata viewers wengi.mwanaume anaishi kwa kutegemea team wema imbebe a.k.a team vigodoro
 
Duuh sema dunia yako ndio itasimama.....kama unapenda mziki huezi kumpenda kiba umdis mondi izo ni tabia za kujiendekeza tu
 
Back
Top Bottom