brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Akiongea na AyoTv, mwanamuziki Ali Kiba amesema, 'Nimegundua mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo. Japo ni sifa lakini kiukweli music wangu una thamani kuliko tuzo. Ndio maana ninapoona ulazima naenda ila kama hakuna nabaki nafanya biashara zangu zingine".
Last edited by a moderator: