Alikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo, na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo

Alikiba: Mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo, na muziki wangu una thamani zaidi ya tuzo

Inaonyesha amekata tamaa kabisa kumfikia Diamond!
 
Biography yake insta tu kaweka hadi link ya kupigiwa kura, na anakumbushia sana tu kwa kuomba.. Nadhani tatizo lilikuwa kujipanga kulijibu hilo swali..

Next time ni kufanya kazi nzuri, na kuhakikisha inafika mbali atapata tuzo tu!!! Angepata na msaada ki ukaribu zaidi kwa King of Afropop

Sasa mnenguaji atatoa ushauri gani kwenye uimbaji
 
Kama yanga na simba vile "wa mchangani na wa kimataifa"
 
Mkuu kwanza management ya kiba unaijua au unaiskia ?? Tuanze hapo

Kiba kama kweli ana manager basi amtimue kazi. Hivi management isiyoleta mafanikio ya nini?

Kama kweli we unampenda Kiba hakikisha anapata uongozi bora ili mafanikio yaonekane kitaifa na kimataifa pia vinginevyo atabaki analalamika tu kwenye social media kuwa hapewi sapoti wakati wenzie wanazidi kushine

Asikwambie mtu Raha Ya Mechi Bao
 
Mtihani hata urembe muandika vipi kama umeandika pumba kufeli kunakuhusu..

Mashabiki wa alikiba wanadanganyika na sauti, ile sio fact ya kuwa bora ni sawa na muandiko mzuri darasani haukufaulishi hata kidogo..

Cha pili, soko halihitaji useme nyimbo zako zinaelimisha jamii kwahiyo wewe ndio top of the game hahahaha wanamuziki wa injili wangekuwa wanatisha kwa staili hiyo, pamoja na wanahiphop lakini haipo hivo

Muziki ni vionjo vinavyomfanya mtu aburudike ndio vinavyokufanya uwe wa kipekee, wewe kama shuleni umepelekwa umeenda kufanya mapenzi husomi unategemea best naso aje akupe elimu kwenye nyimbo zake hahahaha UMEFELE KWA MARA YA PILI..

NDIO MAANA NYIMBO ZINAPIGWA CLUBS SEHEMU AMBAPO WATU WANA HAVE FUN NA SIO SHULENI..

Unaweza ukajipa mfano mwepesi tu, wimbo kama amarula unavyotikisa tanzania sasahivi ndio utaniambia ni nini kilichoifanikisha ujumbe? au vionjo?

Afu amia my woman my everything ya patoranking, afu uje wimbo wa koffi olomide 'selfie' kitu cha EKOTITE oyooooooo yani lazima uchizike sasa hizo ndio kati ya nyimbo tano za nje ya tz zinazosumbua media kwa sasa...

TUZO NI MUHIMU SANA, ALIKIBA MWENYEWE ANALIFAHAMU HILO ILA ALITEREZA TU!! JAPOKUWA NA JEURI YA KUPATA TUZO NI ISHU!!!

Cc. #Alikiba 😂😂😂😂😂😂😂 umemchana sana Kidingi hii tabia ya kusifiana ujinga sijui unasauti nzuri sijui nini ndio uliomfikisha kiba hapa tulipo. Kama issue ni sauti nzuri mbona hata wemasepetu anayo?
 
Last edited by a moderator:
Kiba kama kweli ana manager basi amtimue kazi. Hivi management isiyoleta mafanikio ya nini?

Kama kweli we unampenda Kiba hakikisha anapata uongozi bora ili mafanikio yaonekane kitaifa na kimataifa pia vinginevyo atabaki analalamika tu kwenye social media kuwa hapewi sapoti wakati wenzie wanazidi kushine

Asikwambie mtu Raha Ya Mechi Bao
Mkuu kiba ana mwaka mmoja tu mnataka afanye collaboration mpaka na beyonce na angefanya hivyo ingekuwa tushamsahau ila ana akili sana kiba
 
Mkuu kiba ana mwaka mmoja tu mnataka afanye collaboration mpaka na beyonce na angefanya hivyo ingekuwa tushamsahau ila ana akili sana kiba

Mwaka mmoja wa wapi? Mbona dogo ameanza muziki kitambo tu
 
Mkuu kiba ana mwaka mmoja tu mnataka afanye collaboration mpaka na beyonce na angefanya hivyo ingekuwa tushamsahau ila ana akili sana kiba

Kazi anayoiandaa marekani sasahvi inaonekana itakuwa ya moto saaana...!
 
Mwaka mmoja wa wapi? Mbona dogo ameanza muziki kitambo tu
Mkuu kiba alikaa kimya miaka 3 alirudi kwa kulazimishwa na mashabiki ndo akakubali na dada wastara na baadhi ya watu wakubwa wakubwa
 
Huyu nae hata alipowekeza hana

Si bora afunge mdomo na kuonyesha haumii nani asiyependa tuzo zinazotolewa kwa fani za usaniiii

Anachekesha sana bila kugusia swala la Chibu(hata kama hajamtaja ni nani tena anamuumiza roho) ma maendeleo yake hana cha kuongea.

Jaman aliulizwa na mtangazaji ndio akajibu hvy. Sio km alikurupuka kusema.
 
Kazi anayoiandaa marekani sasahvi inaonekana itakuwa ya moto saaana...!
Kiba alisema hivi " mwaka mmoja alisema anaangalia soko kwanza halafu ndo mambo mazuri yanafuata
 
Mkuu kiba alikaa kimya miaka 3 alirudi kwa kulazimishwa na mashabiki ndo akakubali na dada wastara na baadhi ya watu wakubwa wakubwa

Hahahahahaha alikaa kimya kwavile hakuwa na mpya, hayo maneno ya kurudi kwenye game kwasababu ya kulazimisha ni danganya toto tu
 
Hahahahahaha alikaa kimya kwavile hakuwa na mpya, hayo maneno ya kurudi kwenye game kwasababu ya kulazimisha ni danganya toto tu
Mkuu kiba alipumzika majukumu ya family yaliongozeka ndo maana
 
Mkuu kiba alipumzika majukumu ya family yaliongozeka ndo maana

Okay salamu zimfikie huko aliko. Kuwa kama anataka kufaulu ahakikishe amepata management inayoeleweka. Na hiyo sio kwa Kiba tu bali kwa wote wanaotaka mafanikio katika muziki
 
Back
Top Bottom