Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Biography yake insta tu kaweka hadi link ya kupigiwa kura, na anakumbushia sana tu kwa kuomba.. Nadhani tatizo lilikuwa kujipanga kulijibu hilo swali..
Next time ni kufanya kazi nzuri, na kuhakikisha inafika mbali atapata tuzo tu!!! Angepata na msaada ki ukaribu zaidi kwa King of Afropop
Mkuu kwanza management ya kiba unaijua au unaiskia ?? Tuanze hapo
una nikumbusha wimbo wa twanga " Aisha eeeh....eeeh raha ya mechi bao... "
Mtihani hata urembe muandika vipi kama umeandika pumba kufeli kunakuhusu..
Mashabiki wa alikiba wanadanganyika na sauti, ile sio fact ya kuwa bora ni sawa na muandiko mzuri darasani haukufaulishi hata kidogo..
Cha pili, soko halihitaji useme nyimbo zako zinaelimisha jamii kwahiyo wewe ndio top of the game hahahaha wanamuziki wa injili wangekuwa wanatisha kwa staili hiyo, pamoja na wanahiphop lakini haipo hivo
Muziki ni vionjo vinavyomfanya mtu aburudike ndio vinavyokufanya uwe wa kipekee, wewe kama shuleni umepelekwa umeenda kufanya mapenzi husomi unategemea best naso aje akupe elimu kwenye nyimbo zake hahahaha UMEFELE KWA MARA YA PILI..
NDIO MAANA NYIMBO ZINAPIGWA CLUBS SEHEMU AMBAPO WATU WANA HAVE FUN NA SIO SHULENI..
Unaweza ukajipa mfano mwepesi tu, wimbo kama amarula unavyotikisa tanzania sasahivi ndio utaniambia ni nini kilichoifanikisha ujumbe? au vionjo?
Afu amia my woman my everything ya patoranking, afu uje wimbo wa koffi olomide 'selfie' kitu cha EKOTITE oyooooooo yani lazima uchizike sasa hizo ndio kati ya nyimbo tano za nje ya tz zinazosumbua media kwa sasa...
TUZO NI MUHIMU SANA, ALIKIBA MWENYEWE ANALIFAHAMU HILO ILA ALITEREZA TU!! JAPOKUWA NA JEURI YA KUPATA TUZO NI ISHU!!!
Twanga pepetaHivi huu wimbo wa "twanga" au wa "kaka man",?
Mkuu kwanza management ya kiba unaijua au unaiskia ?? Tuanze hapo
Mkuu kiba ana mwaka mmoja tu mnataka afanye collaboration mpaka na beyonce na angefanya hivyo ingekuwa tushamsahau ila ana akili sana kibaKiba kama kweli ana manager basi amtimue kazi. Hivi management isiyoleta mafanikio ya nini?
Kama kweli we unampenda Kiba hakikisha anapata uongozi bora ili mafanikio yaonekane kitaifa na kimataifa pia vinginevyo atabaki analalamika tu kwenye social media kuwa hapewi sapoti wakati wenzie wanazidi kushine
Asikwambie mtu Raha Ya Mechi Bao
Mtani unaenda mbali sana yesu tena haha duuHata angekuwa managed na yesu kama hakuna matunda it's wastage of time.
Mkuu kiba ana mwaka mmoja tu mnataka afanye collaboration mpaka na beyonce na angefanya hivyo ingekuwa tushamsahau ila ana akili sana kiba
Mkuu kiba ana mwaka mmoja tu mnataka afanye collaboration mpaka na beyonce na angefanya hivyo ingekuwa tushamsahau ila ana akili sana kiba
Mkuu kiba alikaa kimya miaka 3 alirudi kwa kulazimishwa na mashabiki ndo akakubali na dada wastara na baadhi ya watu wakubwa wakubwaMwaka mmoja wa wapi? Mbona dogo ameanza muziki kitambo tu
Huyu nae hata alipowekeza hana
Si bora afunge mdomo na kuonyesha haumii nani asiyependa tuzo zinazotolewa kwa fani za usaniiii
Anachekesha sana bila kugusia swala la Chibu(hata kama hajamtaja ni nani tena anamuumiza roho) ma maendeleo yake hana cha kuongea.
Kiba alisema hivi " mwaka mmoja alisema anaangalia soko kwanza halafu ndo mambo mazuri yanafuataKazi anayoiandaa marekani sasahvi inaonekana itakuwa ya moto saaana...!
Mkuu kiba alikaa kimya miaka 3 alirudi kwa kulazimishwa na mashabiki ndo akakubali na dada wastara na baadhi ya watu wakubwa wakubwa
Mkuu kiba alipumzika majukumu ya family yaliongozeka ndo maanaHahahahahaha alikaa kimya kwavile hakuwa na mpya, hayo maneno ya kurudi kwenye game kwasababu ya kulazimisha ni danganya toto tu
Mkuu kiba alipumzika majukumu ya family yaliongozeka ndo maana