Kiba alisema hivi " mwaka mmoja alisema anaangalia soko kwanza halafu ndo mambo mazuri yanafuata
Ishu sio kuangalia soko, kama kunavitu unaona hajatimiza ujue alifail.. Japokuwa kwa sasa ametisha, CCM wametishaaaaa..!
Kuna watu wapuuzi sana waliokuwa wanaponda wasanii kupiga kampeni, sahivi hata mwanafa next week anaenda kushoot video South...
At least pengine mwakani tutaanza kuwaona kwenye show na tuzo za kimataifa ukiachana na hutu tu afrima na aea ambazo wanachaguachagua tu...